Hivi ni kweli Chadema, Cuf,NCCR - MAGEUZI na NLD Hatuna watu wenye cv ya kugombea urais mpaka tusubiri upande wa pili.Hii kali Viongozi wetu mnatuangusha kwahiyo angepita ccm tungemchukua nani au ndo tungeacha kabisa kuweka mgombea urais
Yote haya ni kwa sababu baada ya kuona Kikwete kaweza ikiwa ni dhaifu bac wajumbe wote wanajua wanaweza washampima kikwete wakaona wanaweza daa amakweli urais umekuwa ni uraisi kila mmoja anaweza kazi njema wazee wa Lumumba
Unayoyasema mheshimiwa ni sahihi lkn wenye ccm yao watakuchukia na kukuita ww ni mpinzani.Pole sana kwa kuwaelimisha watu ambao wameziba masikio kwa Pamba. Hapo Kigwangala unapigia mbuzi gitaa ccm wameziba masikio
Hivi kinana yupo wapi na zile ngonjera za kubeba tofali, Kupalilia, Na maigizo mengine waliyokuwa wanayafanya maana hatumsikii au amesombwa na mafuriko ya Ukawa
Kama ni kweli bac tz yote ni ya wachaga maanake nenda mikoa ya kusini chadema ndo inayotawaliwa na pipooz sa we kaa na ujinga wako kwamba m4c ni ya wachaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.