Unadhani nani atanunua hizo simu za gharama kama wote tutalia lia kama wewe.nina jirani yangu alinunua s22ultra kwa m2 amekaa nayo muda sasa ameniambia anaiuza anunue iphone 14 pro max ili aonje utamu wa apple pia.kwa hiyo kaka usishangae watu kununua huzo simu kubwa ,wewe ndiye huna pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.