Recent content by IlangiKwetu

  1. IlangiKwetu

    Ukodishaji wa baisikeli za viwete (vilema)

    Heshima mbele wadau, Kama mjuavyo nimekuja kwa fuso la njegere hapa jijini juzi tuu, nikatokea hukoooo kijijini Madeke kwa wala Mbwa. Back to the point ya msingi. Baada ya kushuka tuu nilikutana na hawa ndugu zetu walemavu. Barabarani wakiomba msaada kwa wasamaria wema wanaopita barabarani...
  2. IlangiKwetu

    Interview ya udereva PSRS mnazingua.

    Hatujafanya usahili ndg yangi
  3. IlangiKwetu

    Interview ya udereva PSRS mnazingua.

    Lakini leseni tunazo tena valid, wangesema kuwa wanahitaji tungekuja nazo. Watu tumesafiri kutoka mikoani tunaishia kutazama maghorofa tuu
  4. IlangiKwetu

    Interview ya udereva PSRS mnazingua.

    Heshima mbele wadai, masharti ya jumla yapo wazi kwenye tangazo. Leo kwenye usajili wanakuja na jipya kuwa wanahitaji cheti cha awali cha mafunzo ya udereva. Wengine magari wamejifunza nyumbani jamani. Ni vema mkizingatia vile vilivyo kwenye masharti ya jumla.
  5. IlangiKwetu

    AJALI: Mabasi ya Mwendo Kasi yagongana eneo la Shekilango na kusababisha foleni kubwa Morogoro road

    Leteni na kapicha basi, ndo stori inanogaga. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. IlangiKwetu

    Askari wetu mnaangamia kwa kuwa mlipuuzia ushauri wa Rais

    Mh alisema Hakuna haja ya polisi jamii
  7. IlangiKwetu

    Jaji Mkuu waonee huruma watanzania hawa wanyonge

    Cha ajabu wanao pigiwa simu na kuvunjiwa mikataba ni wanasheria. Je mimi nisie hata jua kanuni tuu. Haki ntaipataje? Mitaala ya elimu yetu ina matatizo bila shaka @LT USU WA MADOSO
  8. IlangiKwetu

    Kanuni za PSPF kupata kiinua mgongo

    Heshima mbele wadau, Tafadhali mwenye kujua kanuni za PSPF kupata, Malipo ya mkupuo. Malipo ya mwezimwezi Mfano mtumishi mshahara wake wa mwisho ni Tsh 850,000 na katumikia taifa kwa miezi 360 (Miaka 30). Anapata mahela mangapi kwa kutumia hizo kanuni. Aksante.
  9. IlangiKwetu

    Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

    The bold nimejaribu kudownload hivi vitabu hapo nimeshindwa aisee inaonyesha vitakuwa vizuri sana
  10. IlangiKwetu

    Je, Uliwahi kutoa rushwa, ulitoa kwa sababu gani?

    Toka ukiwa mimba mtanzania ni RUSHWA mpaka kesho tuna virusi vya rushwa kwenye damu zetu ndg yangu.
  11. IlangiKwetu

    Mapunjo ya mishahara kwa waliositishiwa madaraja kupisha opereshsheni wafanyakazi hewa

    Na wale wa ajira mpya na wakati walishakuwa na mikataba ikasitishwa itakuwaje kuhusu yafuatayo i) Mishahara yao baada ya kusimamishwa. ii) Nauli zao za kuwarudisha domicile place na kurudi kwenye vituo vyao vya kazi endapo watarudishwa kazini kumbuka (Mhusika pamoja na familia na mizigo yake)...
  12. IlangiKwetu

    Msaada katika ndoa: Mwaka wa tatu kwenye ndoa sijapata ujauzito

    Haina mbaya watakuja wataalamu wengine katika hili kuchambua mama mwenye mzunguko wa siku 30
Back
Top Bottom