Recent content by Ilakiza Kibod

  1. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Vitoto vya Arse8 vina penda majukwaa ya watu. Nenden mjadil mnatokaje kwa nyumbu leo
  2. I

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kavu et...
  3. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Chuma kinatuaga sio mda
  4. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Naona maneno meeengi wakati mmeongoza ligi ..siku kibao mnanyang'anywa mwishon
  5. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Here we go... Arsenal tukutane next season
  6. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mmemsajili nani nyiee
  7. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kweli kabisa brooo.... Ila mara nyingi wanao ponda sio real Liverpool fans...ujue ni wakutoka unyumbuni...au lek boyz wa chelz
  8. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nyie halafu tutofautishe...Nunez hajanunuliwa kwa £100....Kanunuliwa kwa €85+adds on €15...ambazo hizi zinalipwa kulingana na performance yake....hizo €85..ni sawa na £68. By the way kama mnaangalia mpira vizur pre season hii huwezi mkosoa Nunez kisa hajafunga ...bnafsi nmeona ni mchezaji mzur...
  9. I

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mchezaji wa million 100 wa nini...huo ni uogaaa.... Nitajie wachezaji wa million mia walio wahi leta impact kwenye team yao .... Ukilinganisha na wachezaji wa milion 30,40&50...tunao nunua Liverpool...wanaokuja kua tishio... Mfano ...jack glerish & Luis diaz..... Uwezo wao uwanjani...huoni...
  10. I

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hata kocha wao hatamani kukutana na Liverpool..... Tuna wataka tena final.
  11. I

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Kama historia ni rahis chukua CL hata mojaa kama unao uwezo... Umekua team ya kuleta changamoto tuu lakin huna team ya kuchukua CL...ile inahitaji wazoefu... Wewe na PSG ...hata mkutane na Aston villa final..vilaa ni mzoefu kuliko ww na atachukuaa. Over.
  12. I

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Falsafa ya Liverpool wewe unaijua?....ni sawa hatulipi wachezaji mkwanja mrefu....ila tunawachezaji world class...ambao wanafanya Liverpool kua team inayoogopwa zaid duniani.....kuhusu makombe ww man city team ya juzi huwezi jilinganisha na Liverpool
  13. I

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Olla chugaa... Vip bado mnaongoza ligi?....naonaa hautarudi kwenye page za wanaume kutupigia kelelee
  14. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii mbwaa ollachuga inadharau sanaaaaaaa
  15. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Akija ollachuga unistueeee
Back
Top Bottom