Mkuu Wa Bunge wa Zanzibar wamekuja na nn tena? Hizi tarakimu nyengine nimewasikia kina bashe na serukamba.. kwa faida ya sote hapa jukwaani.. tupe updates za wenzetu toka upande wa pili wa jamhuri..
Bila Ya kumsahau Fundi.. Allesandro delpiero na fabio grosso..(hawa ndo walowapa ushindi italy kombe la dunia 2006 wakishirikiana na Marco Matterazi.. Andrea pirlo na Fabio cannavaro
Mkuu Feberia... Yani umesema kweli tupu..
Lakn hili swala mm linaniumiza saaaana kichwa... Na nlishawahi Hata kuuliza humu.. kwamba Jumbe Alitaka serikali tatu.. Akasalitiwa... ss Je Wale Ambao walikua ni Faithful Wa jumbe na Walikua wanasympathize nae.. kwann wakati wanamlaumu huyo msaliti na...
Mimi Mkuu nikushauri tu kama una eneo japo la heka Moja hebu tafuta japo ngombe zako za maziwa japo 3 ambazo zitakupa an average y lita 60 kwa siku.. hapo hapo kazini kwako unapeleka hayo maziwa na kuyauza 2000 tshs per litre.. hio ni karibia 120,000 kwa siku.. kwa mwezi piga hesabu mwenywe...
Mkuu chilubi na Wachangiaji wengine Humu ndani ya jukwaa hili... niwapongeze kwa dhati kwa michango yenu ambayo ni very informative na ni darasa tosha kwa cc tunao ona siasa za huko visiwani kuwa very interesting.. na kupitia michango hii huwa pia tunapata uwanja wa kusoma na kuuliza zaidi...
Mkuu Habari za Jioni...
Mm napenda saaana kusoma siasa za zanzibar.. Hua naziona very interesting... na kila ikiktokea nafasi hupenda kujifunza zaidi
Hapo kwenye hio post yako umemention abt ccm zanzibar kutompa Maalim nchi
ni nn hzo sababu za ccm zanzibar kufanya hvo.. kwa faida ya wote hapa...
this Is very informative.. Mm mwaka jana nlifanya research ya kutosha.. nlikwenda mafinga... ihema iringa... mpaka liti mpwawa.. nashukuru pia kwa hizi taarifa na mm ntazifanyia kazi.. thanks
Mkuu... Kwanza pongezi za dhati nazituma kwako kwa muendelezo huu wa simulizi yetu maridadi...
pili nasikitika saaana Notification zimetuangusha.. it has taken me a fortnight kujua kwamba season ya pili imekiwsha Anza..
lakn hakijaharibika kitu...
Karibu Tena mkuu...
IL Buono.. (The Good)
Mkuu...Umetoa Maelezo Ambayo ni very Fruitfull indeed...Nimeelimika vya kutosha..
lakn kabla sijatupa chini kalamu kaka naomba nifahamishe zaidi... Umemention khofu za kutotaka kummention jumbe kwa pande mbili za cuf Na Ccm Zanzibar.. ss je hawa ndugu zetu wa ccm zanzibar kukaa kimya kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.