Uko sahihi sanaaa. Haswa Mrengo baada ya Uhuru!
sisi Tz tulikuwa Communist ujamaa na kujitegemea,wakati Kenya Capitalism!
Kuna Network kubwa sanaa kati ya wazungu na Kenya!
ndio Maana hata juzi HQs nyingibza UN zimehamia Nairobi!
Naumia sanaa kuona watu hawafahalu maana ya AI wanajua tuu AI ni ChatGPT au picha ya Mtu?
AI inafanya kazi zifuatazo:
AI is a set of technologies that allow computer to perform different task.
eg Upasuaji,Kusahisha,Kutengeneza Magari,nk
Unajua Mkuu uko sahihi lakini,
Suala la Imani ndio tatizo,Pamoja na wewe kuelezea kiini cha YESU kuja Duniani kuna watu tena wengi hawaamini hilo,
ndio maana kuna Wakati hata Mitume wao mmoja baada ya Kifo cha YESU akasema “Hakika” huyu ni Mwana wa MUNGU….Means kutanda kwa Giza mchana au Ishara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.