Recent content by ikhufa

  1. ikhufa

    Kidogo nife ningekaa kiree kisa demu.

    1 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. ikhufa

    Baadhi ya wavaa miwani mnakera sana

    well said mkuu... mimi mzee wangu anatumia miwani kusomea so akikuangalia either akuangalie kwa kushusha kidogo au atoe kabisa miwani. so sio dharau kama inavosemekana. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    shukran mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    Tahmeed wanapki wapi basi lao.. Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  5. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    hapana mkuu just naenda kusalimia nyumban after years.. Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  6. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    its not a problem kwq sbb mwenyewe sipendi kufika usiku. Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  7. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    je wanakeep time? maana kuna magari yanasema yanaondoka saa 1 lkn mnajikuta mnaondoka saa 3 Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  8. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    shukran sana bosi Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  9. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    Amani iwe nanyi... jmn naomba kuuliza ni kitambo kidogo sijasafir kwenda Arusha. kwa wenye kutumia usafir wa mabasi ni magar gani mazur kuelekea huko kwa sasa? kutoka Dar es salam Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ikhufa

    usafir kwenda Arusha.

    Amani iwe nanyi... jmn naomba kuuliza ni kitambo kidogo sijasafir kwenda Arusha. kwa wenye kutumia usafir wa mabasi ni magar gani mazur kuelekea huko kwa sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. ikhufa

    Ushauri jamani:Mke wangu anahisi ana mimba na bado tuna mtoto mchanga

    kwanza kabisa pole mzee baba... ila kwa hatua iliofikia hakuna namna zaidi ya kuwa mpole tu na kusubiria mkeo acheki upt na majibu yanaseamaje? kama yakiwa positive basi mtoto wa sasa aendelee kunyonya mpk mama atakapooana inafaa. na atumie maziwa ya formula basi... ila ni jambo ambalo linaweza...
  12. ikhufa

    Kwanini Wanaume wanaotangaza kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM wanaruhusu kufokewa na watangazaji wenzao Wanawake?

    nimekuwa mfatiliaji wa hicho kipindi na kweli kinafurahisha hasa wanaume wakianza kuongea pumba wakiongozwa na KP so anachokifanya B5abra ni kama kuwarudisha tu kwenye mstar sio kama anawafokea. just ina way mpk msikilizaji unatabasamu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. ikhufa

    Usikubali kuliwa hivi hivi

    1 Sent using Jamii Forums mobile app
  14. ikhufa

    Madereva bodaboda tunaopakia warembo tupeane uzoefu

    21 na mie Sent using Jamii Forums mobile app
  15. ikhufa

    Madaktari watoa mimba wengi WANAPIGA PUMBU mke /mpenzi wako Kabla ya kumtoa.

    nawaza tu hapa maana hiyo procedure inafanyika theatre.. kuna mtu wa usingizi. kuna scrub nurse. kuna runner na kuna dr so not less than 4 people.... sioni hio posibility hapo
Back
Top Bottom