kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,517
- 10,369
Unapaswa kujua barbara hassan ndio brand manager wa hicho kipindi... boss hanuniwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu kumbuka huyo mwanadada ndo mweny kipindi hao wote ni wakuja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sisi hatutaki utusikilizeHakuna Radio Station ambayo ctaki kuickia kama iyo Clouds sioni cha maana hpo labda kidogo kipindi cha sport Extra
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yani huwaga najiuliza swali kama hilo sana.
Hivi watu kama hao akili ndogo ndo wanakuchambulia mambo eti ndo wanakua wachambuzi wako haha aisee
Ndo mana una akili ndogo basi unahisi kila mtu kilaza kama wewe....Kwa akili gani kubwa uliyo nayo wewe usichambuliwe mambo? Sema tu hupendi kusikiliza radio ila usilete dharau kwa wanaofanya hivyo/hiko kipindi/kipindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana una akili ndogo basi unahisi kila mtu kilaza kama wewe....
Janaume zima linakaa linaskiliza vipindi vya umbea umbea kwenye radio.
Next time wanakuomba boga
Haha haujasikia mwanaume mwenzenu wa mkoani kabaka mwana jeshi huko !!?Wanaume wa dar hao mkuu,hahah.
Next time wanakuchambulia afu wanakutia na vidole vya matako.
It seems una crush na Kipanya....au ndo basha wako?
Mi nipo kote kote kwa wazee nipo kwa vijana nipo kwa wahuni nipo kwa wastaarabu nipoKuna uzi mmoja unahusu mambo ya sheria niliona unashuka nondo za kufa mtu
Mi nipo kote kote kwa wazee nipo kwa vijana nipo kwa wahuni nipo kwa wastaarabu nipo
Nampokea mtu kama anavyokuja.....
Pamoja Mkuu....mimi ni Kinyonga najibadilisha ili niendane na mazingira husika, otherwise utashindwa kusurvive kwenye this world of ill intentions.......Haahaaa sawa nimekuelewa mkuu
Ndo ubunifu wao mkuu usichukulie ukwelNimekua nasikiliza kipindi cha Power Breakfast cha Clouds, kipindi kina mengi mazuri na hongera kwao kwa hayo japo pia kuna dosari kadhaa kama kujikweza, kusimulia matangazo, umuch know mwingi nk haya nitayaongelea sku nyingine leo ningependa kuongelea tabia ya hawa kina Kp, Siza, na yule kijana mwingine (jina limenitoka)
Hawa jamaa hua wanafokewa sana na mwanadada Babra Hassan kufikia hatua inabore kwa kweli, yani mianaume inafokewa limitlessly mara nyingine wanatukanwa ila ipo tu inakenua hata kuchukua hatua za kuzuia au kukemea tabia ya mwanadada huyu anaeonekana kiburi hapana.
Yaani fikiria ni kama ukipita mahali afu ukute janaume linafokewa na mwanamke hadharani nalo lipo lipo tu hua inanibore sana na mwanadada huyu hua wala hana sababu ya msingi ya kuwafokea ukizingatia majamaa ndo hua wachambuzi wakuu wa mijadala ila dada huyu anawafokea na kuwadhalilisha atakavyo tena wazi wazi na matusi juu.
Kuna siku alianza kuwafokea ovyo na hata kuwazimia mic na kuwafukuza kisa walikua na mawazo tofauti kuhusu "mikoba na viatu vya wanawake" na mwanadada huonekana kuenjoy zaidi kuwafokea wanaume hawa kuliko hata kujadili maudhui tofauti ya kipindi.
Hichi kitendo hua kinanikera sana na tukichukua picha ya wanaume hawa ndo awe mume wa aina hiyo kwakweli familia hiyo mitoto itakua mijinga jinga iliyozoea kuona mama anamfokea baba.
Sent using Jamii Forums mobile app