Leo mnamo majira ya saa 11/40 alfajiri umeme umakatika maeneo mengiya TBT sijui maeneo mengine,
naona sasa imekua rasmi ,ila haya hatukuyaona enzi za mwamba yule. hatukatai matengenezo ila sasa too much.huko uswazi tunategemema sana huu umeme kama siku nzima hufanyi kazi unategemea nini?
VP kila uchao analishwa matango pori tu, tuwaache wataalamu waje na suluhisho hilo eneo hata mtu wa kawaida tu anaweza kuja na solution, barabara ni mbovu sana na nyembamba.
Napingana na VP hiki kitu sio kweli,samaki wa mwanza wanaliwa hata nje ya mwanza, hapa dar tunakula sana sato mbona hatuna saratani? VP unalishwa matango pori waambie wafanye utafiti tena, hivi jinsi fomalini invotoa harufu ungeweza kula samaki kweli?hebu tuwe wakweli wagonjwa wengi pale ORCI...
Sijapata comment ya maana kumbe na nyinyi waluwalu tu, nataka LATRA watujibu kwanini wasitoe vibali bus kubwa kama NEWFORCE zianze ratiba ya mchana ?mbona ilikuepo tunduma saa 5 asubuhi,?
Juzi nikua mkoani Mbeya na Tunduma katika safari zangu ila kwa nilichoshuhudia ni mateso sana, sijui tatizo nini. Sikuweza kupata usafiri wa saa 12 alfajiri kwahiyo nikaja Uyole kuvizia usafiri wowote. Jamani, tulipandishwa bus aina ya fuso ambalo lilituacha Makambako!
Mpaka tunafika Dar...
Habari wana jamvi,
Jana nimesikia kuwa JKT wanapokea vijana wakujitolea sasa nina kijana naka aende huko.
Je, utaratibu ukoje kwa mwenye taarifa kamili naomba tafadhdli.
Hao jamaa ni kero sana tunatiana hofu hasa tuapo safarini, hata mjini siku askari wa bank akiona gari tu anakuja anataka kukagua km si kukupa kosa, Nashauri zifungwe kamera maeneo ya zebra na speed limit.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.