Msanii maarufu wa muziki wa kufoka foka (hiphop) anasema baada ya kumzingua na kumletea uzinguzi katika nafasi ya udiwani aliyoigombea uchaguzi uliopita, sasa amejipanga vema katika idara zote ili kulinyakua jimbo la Kinondoni na kuwapigania wanyonge wa Kinondoni wanaoliwa vya kwao na wachache...
Mwendo huo huo kamanda. Kwa ujasiri, uchungu na uzalendo wako ulio nao kwa usanii wa watawala wetu kuturudisha nyuma kimaendeleo, tunakukaribisha hapa kwetu Lupa kwa kusaidia ukombozi wa jimbo hili. Maana si unajua namna bwana Victor alivyolifisadi???? UKIANZA NA MUNGU MALIZA NA MUNGU KIJANA, NA...
Yaani hii nchi bana. Anyway, hata hivyo vijana wetu tumewaelewa. Watawala wamewaelewa. Sisi tutawasaidia vijana hawa kufikisha kilio hicho pale April 30 na oktoba mwaka huu huu!!!!!!!!!!!!!
Na tutasikia mengi tu kutoka Intarahamwe! Tutegemee watakaojiudhuru uhai kama yule kibwetere wa Malawi! Watakaoingia msituni kama yule Bwana kitumbo au tumbo-mziki wa Mbinga na wengine na mengine mengi ya kuuchekesha ulimwengu huu ili uongeze life span au life expectancy!!
Wanaotusingizia kuwa sisi tumewatuma S2 wakome kabisa! Maana wao si tume ya Mabadiliko ya Katiba mpaka tuwatume sisi. Sisi wananchi tumeituma Tume, ndiyo hiyo imetuwasilishia maoni yetu vyema! SASA kama wataedelea jeshi liwapige risasi 21 kila mmoja, maana tumechoka! WAPIGWE TU! Ala!!!! watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.