Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Kwa mujibu wa aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya katiba Mheshimiwa Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba wanajeshi waliokuwa wakitoa maoni yao mbele ya tume walilalamika kitendo cha kupiga mizinga 21 kwa Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar.
Itifaki kiongozi anayestahili kupigiwa mizinga 21 ni Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.Hii ni kuonyesha utii kwa Amiri jeshi mkuu ambaye ni mmoja katika nchi moja lakini kutokana na siasa za mizengwe Tanzania Rais wa Zanzibar anapigiwa mizinga 21 hii maana yake sasa Tanzania ina wakuu wa nchi wawili !!!!!.Bado kuna mijitu kule Dodoma ianshupalia serekali mbili mingine iko tayari kuingia msituni.
Naomba kuwakilisha.
Itifaki kiongozi anayestahili kupigiwa mizinga 21 ni Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.Hii ni kuonyesha utii kwa Amiri jeshi mkuu ambaye ni mmoja katika nchi moja lakini kutokana na siasa za mizengwe Tanzania Rais wa Zanzibar anapigiwa mizinga 21 hii maana yake sasa Tanzania ina wakuu wa nchi wawili !!!!!.Bado kuna mijitu kule Dodoma ianshupalia serekali mbili mingine iko tayari kuingia msituni.
Naomba kuwakilisha.