majaar
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 1,356
- 256
Sugu amesababisha kila mvuta bangi kujiona anafaa kuwa Mbunge.
Majimarefu smesababisha kila mganga wa kienyeji anafaa kuwa mbunge kwa matunguri yake.
Sugu amesababisha kila mvuta bangi kujiona anafaa kuwa Mbunge.
Sugu amesababisha kila mvuta bangi kujiona anafaa kuwa Mbunge.
Sipati picha hiyo mibange itakayovutwa kwenye viwanja na vyoo vya bungeni..........vile vile watasababisha kupanda kwa bei ya bange mkoani DODOMA......
bra bra braSipati picha hiyo mibange itakayovutwa kwenye viwanja na vyoo vya bungeni..........vile vile watasababisha kupanda kwa bei ya bange mkoani DODOMA......
...punguza uongo kdg ....Jamaa ni CUF damu kama alivyo Juma Nature, nadhani alishagombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa au Udiwani kupitia CUF lakini akaanguka katika mchujo wa ndani ya chama.
Huyu jamaa alikuwa mshikaji wake sana Miraji wakati huo mkuu wa kaya akiwa Waziri. Yeye ndiye alimuingiza Miraji kwenye uteja wa bangi na sembe, kama ilivyokuwa kwa marehemu Langa (RIP). Kama hajabadilika mpaka sasa, basi huyu ni kijana wa kuogopa kama ukoma, usiruhusu kijana wako akawa na urafiki naye.
Ova
...harakati zinaendelea..tanzania bila dawa za kulevya inaendelea...zamani ilikua Hip Hop bila Dawa za kulevya inawezekana...jana wakati akihojiwa alisema yeye amewafundisha wengi kwa kupitia nyimbo zake,na pia alikuwa na harakati za kutokomeza vijana kuacha madawa ya kulevya kinondoni
...teh teh teh ...Maneno yake na vitendo vyake ni tofauti sana. Ndivyo alivyo huyo Kamanda wa kikosi cha mizinga.
Ova
Viol Kalapina ametangaza kugombea kupitia Chadema au Cuf?
Jana akihojiwa East Africa Radio amesema uchaguzi ujao atagombea ubunge Kinondoni ili aungane na makamanda wenzake mjengoni.
Pia wiki iliyopita hii radio ilimhoji afande sele akasema atagombea Morogoro Mjini.
Profesa Jay naye amekiri atagombea kwa tiket ya CHADEMA jimbo la Mikumi Morogoro.
Nadhani jinsi siku zinavyoenda wasanii wengi watatangaza nia kupitia CHADEMA.
Uwezekano pia upo wakaingia bungeni.
Kugombea ni haki ya kila mtu ila uongozi wa juu wa CHADEMA waliangalie vizuri hilo swala wanapopitisha majina ya wagombea,maana chama kitajaa wasanii.
Wakuu nye mna maoni gani!!
Sugu amesababisha kila mvuta bangi kujiona anafaa kuwa Mbunge.
wavuta bangi wote wanaona njia rahisi ni cdm. Ukiöa ganja smokers wote wanatangaza nia kuptia cdm jiulze kunani
Sugu amesababisha kila mvuta bangi kujiona anafaa kuwa Mbunge.
Sipati picha hiyo mibange itakayovutwa kwenye viwanja na vyoo vya bungeni..........vile vile watasababisha kupanda kwa bei ya bange mkoani DODOMA......
Sipati picha hiyo mibange itakayovutwa kwenye viwanja na vyoo vya bungeni..........vile vile watasababisha kupanda kwa bei ya bange mkoani DODOMA......