Recent content by ihssan

  1. I

    Mshahara wa mwezi May vipi watumishi?

    Aisee kwenye orodha ya watumishi walio hakikiwa mdogo wangu haonekani ila ni miongoni mwa waliokuwa wamesitishiwa ajira zao namsaidiaje?? Au wao kwenye ile orodha hawahusiki??
  2. I

    Orodha mpya ya watumishi walio hakikiwa

    Naomba kujua kuna watumishi waliondolewa kwenye utumishi ili kupisha zoezi la uhakiki baada ya hilo zoezi kukamilika walilejeshwa sasa imetoka orodha ya watumishi waliohakikiwa ya kila mkoa je na wale walioondolewa kwanza ni miongoni au wao hawausiki na hiyo orodha??
  3. I

    Mwenye majibu

    Kuwa na subira kwani bado burch nyingine zinatoka na kutembelea loans board ingesaidia ili kupata majibu yaliyo kamili
  4. I

    Mwenye majibu

    Mmmmmm mimi sijui ila kama wewe ni mTz unahusika . Uliomba mkopo lakini??
  5. I

    Waziri Angellah Kairuki na Mhe. Rais, kwanini mlisitisha ajira 3000 za hawa vijana masikini?

    Imetokeaje vjana hao kukutana haliyakuwa hawajuani na kila mmoja yuko kwao?? Labda ila cjaiamini taalifa yako ila tambua wo tu wa M/mungu na kama una vigezo ckuikifika utaajiliwa tu
  6. I

    Umekutana nao paa..Utachagua A au B

    Mmmmmmmmmh
  7. I

    Ukweli ni upi kuhusu tukio la Scorpion wa Buguruni?

    Dah niishu kali uvhunguzi ufanyike
Back
Top Bottom