Aisee kwenye orodha ya watumishi walio hakikiwa mdogo wangu haonekani ila ni miongoni mwa waliokuwa wamesitishiwa ajira zao namsaidiaje?? Au wao kwenye ile orodha hawahusiki??
Naomba kujua kuna watumishi waliondolewa kwenye utumishi ili kupisha zoezi la uhakiki baada ya hilo zoezi kukamilika walilejeshwa sasa imetoka orodha ya watumishi waliohakikiwa ya kila mkoa je na wale walioondolewa kwanza ni miongoni au wao hawausiki na hiyo orodha??
Imetokeaje vjana hao kukutana haliyakuwa hawajuani na kila mmoja yuko kwao?? Labda ila cjaiamini taalifa yako ila tambua wo tu wa M/mungu na kama una vigezo ckuikifika utaajiliwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.