Na hata usipotimiza wanakuchapia vilevile...ishi nao kwa akili maana hawaridhiki na usijaribu kumuamin mwanamke zaidi ya mama yako tu...utaishi kwa amani na umri mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mechi inayofuata man city watakua nyumbani ewew ndio utakuwa mgeni...vyovyote itakavyokuwa toeni hata droo tu mtakuwa mmetusaidia sana!! Tot na Chelsea wote wanakuja anfield tutalipa fadhira...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu sijawahi kuwa na uzoefu wa kutuma mizigo mikoani...namba za mawasiliano zipo hapo juu chief unaweza nicheki tukaongea kuhusu punguzo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua wengi hawajui Bei ya hizo gar an wanakuja kukuponda ili mradi wamechangia tu...binafsi labda Kama hiyo gar Ina tatizo jingine ambalo sijaliona kwenye pic ila Bei uliyoweka kwa sampuli ya Prado tx ya 2004...Bei ni sawa kabisa..BTW watu wana stress za maisha so wavumilie tu...
Wanaume na Sisi tumezid tukizungushwa shida..ukipata voda fasta nayo unalalamika!!dunia imebadilika chief mambo ya kuzungushana wap na wap hata umri WA kuishi unazid kuporomoka huoni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.