Recent content by Ihano

  1. I

    Siyo Suala la Chuki Dhidi ya EL, ni Suala la Tofauti #AlipoHatupoTulipoHayupo!

    Kuchokwa ni dalili ya kupungukiwa sasa kama wamepungikiwa hata wakipewa wataendelea na yaleyale bora tuwape na hao
  2. I

    Ujenzi wa reli mpya ya kati kwa kiwango cha "standard gauge

    Inashangaza mgombea urais kupitia chadema Bw EL alinadi kwamba atajenga reli ya kati na Mzee Six akajitokeza na kubeza kwamba mgombea amejisahau kwamba sera hiyo ilikuwemo kwenye ilani ya ccm ya mwaka 2010 na rais anayejiandaa utoka geti la ikulu ameanza kuitekeleza nami nauliza mgombea urais...
  3. I

    Maajabu: Muda si mrefu Mnyika ataanza kujibu tuhuma za ufisadi!

    Nashangaa kijana kuanzisha uzi wa kipuuz mmeipenda wenyewe mtateseka wenyewe ndo chama cha mafisadi ccm wanatuambia hvyo hapa mabadiliko yanaanza kwa kutoa chama kilichotutawala bila mafanikio
  4. I

    Revealed: Dr. Kigwangalla kanakili hotuba nzima ya Obama ya mwaka 2004 aliyoitoa Boston

    kigwangala bado kinda ukita umaarufu dhamin vijana wa bongo fleva ila sio kwa kuota kuwa Rais wa nchi hii labda yaani labda kunywa mafuta ya ndege ili uwe na speed ya kukufanya mwakan upeperushe bendera ya mafisad mwakan
  5. I

    Katiba ya BAVICHA yatambua rasmi CHASO na CHADEMA toto kuwa sehemu ya BAVICHA

    Ukitaka kumjua mwenyekiti wa chaso nenda DIT (Dar inst of tech) Rais wa pale ndo mwenyekiti wa chaso kwa ww unaetaka kuwajua viongoz wa Chaso,,
  6. I

    Nataka kurekebisha taarifa zangu TCU

    kwan mwanzon ulipoapply hukufikiria?? au ulikurupuka?? jarib bahat yako
  7. I

    Tuchambane hapa

    hapo yote mkitoa kama nyie ndo mpo hvyo
  8. I

    Aliyesoma CBG naweza kusomea Medicine?

    md unaenda mana jamaa yangu alipiga cabage minaki na phys alikuwa na d olevel ila nw yupo md bugando so kama una b flat unaenda kiroho safi
  9. I

    Walioanza na Kikwete wataondoka naye mwakani

    Chadema atang'oka Wenje Nyamagana walah
  10. I

    HURUMA: Mtu anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe

    hii ni fact na hii kitu itamuharibia Six maana kipindi alipokuwa spika hakuwa hivi ila sa hivi amekuwa kama yule mdori wa Njombe wa thenkyuveremache
  11. I

    CCM and UDASA, this is shameful

    huelewek mzee try to write in gud sense ukiwa unatoa hisia zako
  12. I

    NILIPOKUWA MDOGO MPAKA SASA NAJIULIZA, 'HERUFI (a-z ) ZILIGUNDULIKAJE?

    kwani kuwa profesa mpaka ugundue kitu?? ila jua hakuna chuo kinachotoa uprofesa zaidi hyo ni tunu ya kupeana
Back
Top Bottom