Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Wapenda mabadiriko ote mnaombwa kuchangia ujenzi wa OFISI ya chadema jimbo la BIHARAMULO magaribi. hapozamani hatukuwa na Ofisi tulikuwa tunapanga ktk majengo ya watu, mbunge wetu MBASA na madiwani wakachanga wakanunua kiwanja jirani na kwa marehemu FARESI KABUYE (mbunge wa zamani TLP) hivyo tunataka kukarabati jengo lililopo kwani Ofisi tuliyokuwa tumepanga ilisha bomoka atakae guswa mchango autume kwa M-PESA kwa kamanda PAULO MAKENE, No.0755 910 358. au kwa muweka hazina wa chama W/Kamanda MAJARIWA MASANKARA No. 0782 803 035. taarifa hii imeletwa kwenu na mimi mwenyewe Kamanda EMMANUEL.S.KOMBA. a.k.a. mapolomoko Asanteni