Kwa hili kuna wengi wataingia kwenye mtego huu,,,kuna wadada wawili tulisoma nao walipata zero matokeo ya kidato cha nne lakini walienda vyuo vya ualimu na mpaka sasa ni walimu na wanapiga salary kama kawa
Updates za uchaguzi jimbo la Kongwa kwa mheshimiwa Ndugai, matokeo katika baadhi ya vituo mheshimiwa ambaye alituhumiwa kumpga mgombea mwenzake ameshnda kwa kura nyngi sana dhidi ya wagombea wenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.