Recent content by IFOZA ONE

  1. I

    Majibu ya mgombea ubunge wa CHADEMA Chalinze dhidi ya mgombea wa CUF

    cdm nawakubali sana maana wanamahadui kibao, ccm,cuf,nccr,act. hivyo vyama vyote adui yao ni chadema..duh!
  2. I

    Daftari la mpiga kura kalenga limefanyiwa marekebisho kimya kimya

    hivi nyie mnaoipenda ccm ua amuoni ukweli au nini? sasa munawezaje kupenda chama kinacho bebwa namna hii!!!!!!!!
  3. I

    Chadema yatikisa iringa mjini.

    hapana cheza na chadema wewe maana ni nomaaaaa..
  4. I

    Kweli CHADEMA Yaweza Kuiangusha CCM Kalenga? Namba Hazisemi Uongo...

    je unakumbuka Igunga chadema walienda kwenye uchaguzi wakiwa na kura ngapi? pia unakumbuka Igunga cuf walikua na kura 11,000 badara yake wakapata kura 2000, kwaiyo ndugu yangu hizo namba zisikupe shida ndugu. igunga chadema kutoka kura 0 mpaka kura 24000 na zaidi licha ya uchakachuaji ulio...
  5. I

    CHADEMA haijawekewa pingamizi Chalinze, Soma sababu hapa

    ccm wamekuja kwa mlango wa nyuma. wanajidai wao ni cuf kumbe ni vibaraka wa ccm, chama ambacho kinasimamisha mgombea sehemu ambayo inawaislamu wengi.sasa hiki ni chama cha aina gani? naikubari chadema maana wao awachagui wanatwanga kotekote hiwe kwa waislamu wakristo au ata wapagani chenyewe...
  6. I

    Chaguzi ndogo zinaimarisha Chadema

    sio kila aliye vaha nguo ya ccm lazima awe muokota makopo, wengine ni njaa tu inawasumbua,ndiyomaana asilimia kubwa akili zao wamezipiga pini, hila zao ndiyo zinazowafanya waendelehe kutawala lakini akika tumewachoka sana hao wezi.
  7. I

    Nalazimika kwenda chalinze kushuhudia kampeni za uchaguzi.

    kushabikia ccm nao ni uchizi.
  8. I

    Video; ushahidi namna ccm wanavyopanga kujeruhi, kutesa, kuteka na kuua-uchaguzi kalenga

    shelia gani ya upande mmoja waanze na kikwete arafu wamfuhate na huyu jamaa. ccm bwana mnaakili mbovu sana mbaka inafikia atu mnaona kama nchi hii ya kwenu peke yenu.sisi sote ni watanzania na kama amuwezi siasa za majukwaani kaeni pembeni. sisi tunataka hoja kwa hoja si vitisho kama hivyo pia...
  9. I

    Hivi adui wa CHADEMA siku hizi ni ACT na si CCM tena?

    mmmh akili ya njaa aishindwi kitu.kazaneni majibu matayapata.
  10. I

    Kwa Kauli hii ya CCM Kalenga, ni ukweli CCM maji ya shingo

    mchawi siyo mbaka ashike tunguli ila ni maneno yake tu utajua huyo ni mchawi. sasa mbona ccm wanajichanganya kulikoni!
  11. I

    Video; ushahidi namna ccm wanavyopanga kujeruhi, kutesa, kuteka na kuua-uchaguzi kalenga

    na wewe pia unaweza kuwa na utindio wa ubongo kwa kuipenda ccm! maana hiki chama kinadhulumu uai wa watu wengi sana katika nchi hii.ndiyo maana ninasema akuna dhambi kubwa katika nchi hii kama kuishabikia ccm. unapo shakia ccm ina maana unashabikia matatizo ya watanzania. je kwanini unakubari...
  12. I

    Video; ushahidi namna ccm wanavyopanga kujeruhi, kutesa, kuteka na kuua-uchaguzi kalenga

    makamanda acheni uwoga dawa ya moto ni moto moto wa wakiua mmoja sisi tunaua watano hii ndiyo dawa yao tutakuwa waoga mbaka lini. kwanza wao asilimia kubwa ni wazee na sisi ni digital sasa kwanini tuendelee kuwa waoga!
  13. I

    Pamoja na kupitishwa mtoto wa rais , chadema ikijipanga vizuri inalichukua jimbo la chalinze

    hii nchi inautwala wa kihimla sana sasa sisi wengine tuta chaguliwa lini na wakati fedha atuna!
  14. I

    CCM inamatumaini hewa ya ushindi zida ya al alhly kama walivyo zoea siasa chafu za tz

    nashukuru kwa kuihelewa ata kama ni kichina lakini kumbuka div v ya wakina shukuru kawambwa aina uwezo wa kujenga hoja hivi.
Back
Top Bottom