ndio Taifa lijalo anaandaa future leader wewe utakua umekufa tayari
Umeonee;kwa kuwaanda na vijana wa kesho nayo inamashiko.
ndio Taifa lijalo anaandaa future leader wewe utakua umekufa tayari
unaijua kalenga vizuri...// mgimwa amefanya juhudi gani kalenga ambako hata nyumba ya kuishi alishindwa kujenga pamoja na kuwa waziri wa fedha?Wana kalenga Msifanye majaribio kwa kuwapa wapinzani jimbo lenu, Dawa ya kuenzi juhudi Alizofanya mbunge wenu Marehemu Mgimwa ni kumpa kura Kijana Mgimwa
kinachonishangazaga kwa wana CCM wao huwa wanaamini watashinda tu kama hao jamaa hapo juu.hii yote ni kutokana na kutegemea ushindi wa lazima,yaani kuvuruga uchaguzi,kuiba kura,kutisha wapiga kura.na aina nyingine ya hujuma.hata hivyo uchambuzi wa mwanakijiji ni wa kisayansi zaidi kuliko hao jamaa wanategemea ushindi kama wa mitishamba vile.Hata hivyo CCM bado inajivunia uelewa finyu wa watanzania wengi ktk maamuzi ya maisha yao kisiasa.kwa mfano mtu unajiuliza kulikua kuna haja gani ya kujaza wabunge wengi wa CCM bungeni ambapo tayari ina wabunge wengi zaidi kuliko vyama vingine.kwa nini watu wasibalance idadi ya wabunge wa upinzani na wa CCM ili bunge liwe linafanya maamuzi ya busara badala ya ''wanaoafiki semeni ndio,'' ''wanasema ndiooo'',wengi wameshinda'' matokeo yake mtaani tunaanza kulalamika ,kodi ya simu mbaya ,mafuta bei juu,sukari bei juu kila kitu juu.hii yote ni kiburi cha uwingi usio na faida wa wabunge wa CCM.kama ningepata nafasi ya kimungunya kuwaelimisha wana kalenga na chalinze ningeshauri kupunguza idadi ya wabunge wa CCM kwa kutowachagua yaani kuchagua wabunge wa upinzani haijalishi CUF au CDM.
Wala siandikii mate wakati najua wino upo.
Buku saba project imevamia Uzi wa Mzee Mwanakijiji bila kutoa hoja wao ni kubwabwaja tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Sikuoni tena Joly Club sikuhizi! Hata siwasikii tena Twanga wakikurusha. Umeishia wapi jaman Mama Mingoi. Washabiki wako tunakukumbuka sana ulivyokuwa unakata mauno!
We miss you alot!
unaijua kalenga vizuri...// mgimwa amefanya juhudi gani kalenga ambako hata nyumba ya kuishi alishindwa kujenga pamoja na kuwa waziri wa fedha?
Unadharau vitatu? nguruwe kimoja tu watoto 20.Kinachofuata ni uzi ule ule, chopa 3 kata 3
Kinachofuata ni uzi ule ule, chopa 3 kata 3
Lema ahutubia watoto kalenga
Watanzania wamegundua hadaa ya machadema, sasa wanakiadhibu ipasavyo kwenye sanduku la kura. Hata mtei ameamka toka usingizini na kukiri kuwa fukuza fukuza imekiua chama
Kama mungu yupo chadema pekee basi chadema watashinda lakini kama mungu ni wa wote chadema haiwezi kushinda kalenga wala chalinze.
kama watoto anaowahutubia lema ndo wapiga kura basi cdm itshinda "njaa" kalenga ngoja tusubiri..jpili si mbali...mnapigwa mapemaaaaaa ndege wanapoanza kuamka kwenye viota vyao chadema chaliiii
Huyu mama anadhani siasa ni kujaza kifua tu atapata shida sana jumapili waandae chumba cha kumlinda asijinyonge.
Kweli mkuu bavicha wa ajabu sana hupigiana simu wakiona uzi gongo na bangi zimeharibu vijana wa bavicha.
Timu ya kampeni ya Chadema imeenda Kalenga kutafuta ada za watoto na kodi za nyumba,.
Kwenu na baba yako ndio mshereheshaji
Ccm is stable, chadema is shrinking........................................
Kitila mkumbo seems to be your heroCcm is stable, chadema is shrinking........................................
Wana kalenga Msifanye majaribio kwa kuwapa wapinzani jimbo lenu, Dawa ya kuenzi juhudi Alizofanya mbunge wenu Marehemu Mgimwa ni kumpa kura Kijana Mgimwa
Hivi nyie ndugu kuna siku hata moja mnachangia hoja kwa hoja? Ni kwa nn kila wakati mnaandika kimstari kimoja tu cha kinafiki na kukimbilia kuandika kingine? Kwa nini msikusanye huu ushuzi wenu wote kwenye post moja labda tuangalie kama kuna hoja? Badilikeni nyie msipende kuwa watumwa wa kina wasira.
afadhali wewe usiye na akili timamu umeandika vimistari vitatu visivyoeleweka
mungu wa chadema ambaye hajawahi kushinda akurehemu
Hivi nyie ndugu kuna siku hata moja mnachangia hoja kwa hoja? Ni kwa nn kila wakati mnaandika kimstari kimoja tu cha kinafiki na kukimbilia kuandika kingine? Kwa nini msikusanye huu ushuzi wenu wote kwenye post moja labda tuangalie kama kuna hoja? Badilikeni nyie msipende kuwa watumwa wa kina wasira.