Amesema amescreenshots akajitumia na pia hiyo simu ya rafiki yake binti ndo huwa anamsaidia kusoma texts so ina maana huyo binti ndo ameweka hiyo fonts
Dah very interesting…kisa cha kwanza mwaka 2022 nipo geto nimetoka kuvolunteer sehemu sina HILI wala LILE, siku nzima nilikuwa nimezima simu kuna mambo yalikuwa yananivuruga sana so ile jioni nimerudi nawasha simu tu nakutana na text ya NMB! Account inayoishia namba hiyo imepokea miliona mbili...
It’s so related 😂😂 hata mimi imeshawahi kunitokea ila ilikuwa kwa mademu tu sio mke!! Kwa sababu sijaoa…hadi unajiuliza is it coincidence au wameambizana😂
wapo wengi sana na tena sio tu vijijini hata mjini pia, last time nimeskiliza mpira kwenye radio nikiwa town kabisa kwa sababu nilikosa access ya TV…so it’s easy!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.