Hiyo ni burudani ya tamaduni za maeneo husika,mbina ndo mambo yake hayo.Ni sawa na kizazi cha leo kushangilia matusi ya nguoni kwenye nyimbo za wasanii wa kileo
Hivi ni kweli kwamba paripesa ukidepost kama laki + au ukila kama milioni kuitoa ni mbinde ?kuna ushuhuda kweli ,kwa hiyo wao kulipa ni hela za nyanya tu,ukipiga mshindo utajua a wewe na serikali yako????😄😄
Mi naona paripesa haina tofauti sana na 1xbet ,mi nashauri watu watumie paripesa kama ni wapenzi wa 1xbet.
Tumieni paripesa ,mbadala wa 1xbet ,pesa inaingianna kutoka vzuri sana .na sioni utofauti wa hizo campuni mi naona wamefanya mbadala wa jina tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.