Recent content by if cap fits

  1. if cap fits

    Series (Special thread)

    Bado tuuu??
  2. if cap fits

    Haya mambo yana faida gani mbele ya Rais?

    Hiyo ni burudani ya tamaduni za maeneo husika,mbina ndo mambo yake hayo.Ni sawa na kizazi cha leo kushangilia matusi ya nguoni kwenye nyimbo za wasanii wa kileo
  3. if cap fits

    Nafasi 2 watu 7500, kuna haja ya kujisumbua kwenda kufanya interview au niendelee kumbonji tu?

    Nafasi zinatoka sana kwa sasa ,nikujaribu tu bahati ,huu mwaka wa uchaguzi watu wanataka wabaki madarakani,
  4. if cap fits

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    https://pdd.tz.999yes.xyz/tz/?guid=2050842&key=friend
  5. if cap fits

    Nina mashaka na TRA huenda wakachakachua matokeo

    Tayari walishafanya yao, editing za kutosha hapo , jamaa wahuni sana hao. Watoto wa walala hoi wajiandae kisaikolojia[emoji1]
  6. if cap fits

    Nina mashaka na TRA huenda wakachakachua matokeo

    Hakuna kazi hapo[emoji2957][emoji2957]
  7. if cap fits

    Dingi jau sana huyu 😆😆 (WWE WrestleMania 2025) Day 1

    Michezo na burudani , ukitaka ukweli kiasi basi tazama taarifa ya habari saa mbili over
  8. if cap fits

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi ni kweli kwamba paripesa ukidepost kama laki + au ukila kama milioni kuitoa ni mbinde ?kuna ushuhuda kweli ,kwa hiyo wao kulipa ni hela za nyanya tu,ukipiga mshindo utajua a wewe na serikali yako????😄😄
  9. if cap fits

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mi naona paripesa haina tofauti sana na 1xbet ,mi nashauri watu watumie paripesa kama ni wapenzi wa 1xbet. Tumieni paripesa ,mbadala wa 1xbet ,pesa inaingianna kutoka vzuri sana .na sioni utofauti wa hizo campuni mi naona wamefanya mbadala wa jina tu
  10. if cap fits

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ndo maisha ya watanzania sasa , mwenzetu upo Cannada eeeh
Back
Top Bottom