Recent content by IENDE IRUDI

  1. I

    JamiiForums Tanzania Bombadia yetu inatua lini?

    acheni presha. bombadier yetu italetwa na watu wasiojulikana.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    yupo mungu wa dar ambaye ni mkamilifu!
  3. I

    JamiiForums Tanzania Sishangai Makonda kuwekwa awe Waziri wa Mambo ya Ndani!

    bashite hana haja na uwaziri wowote. yeye ni naibu rais!
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mtatiro akiambatana na viongozi wengine wa CUF watinga Kituo cha Polisi kuhoji kuvamiwa kwao

    namsikitikia sana mtatiro. nahisi atakuwa amepoteza muda na rasilimali bure kwa sababu mambo ya cuf-lipumba yako nje ya uwezo wa kamanda sirro. hapo lazima aulize kwanza high command aelekezwe cha kufanya.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu la Nape ni baraka na nafasi ya pekee!

    ni kituko cha hali ya juu kumlinganisha Nape na huyo ambaye katika ngazi za uongozi za ccm hakuwahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi halafu mnampa uenyekiti wa taifa wa chama. 2020 hata apige push up kwa makalio harudi ikulu.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Dk Slaa: Mvumilieni Rais Magufuli. Natafakari kurudi nchini siku yoyote

    rudi huku tumvumilie wote, na hayo mengine uyasemee huku huku. hatutaki umbea kutoka canada. unataka kutuaminisha kuwa ungekuwa bado ni katibu mkuu chadema huku tz ungekuwa unamsifia Magufuli kwa kukataza mikutano ya hadhara na watu kushitakiwa ovyo kwa "uchochezi" hewa? huo ni upinzani...
  7. I

    JamiiForums Tanzania TRA kupiga mnada nyasi bandia za timu ya Simba kwa kushindwa kulipa kodi

    yanga wazikomboe hizo nyasi bandia wakaziweke uwanja wa kaunda. ila sina uhakika kama hazitasombwa na mafuriko.
  8. I

    JamiiForums Tanzania RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    sitarajii kusikia amewajibishwa kwa lolote. wabunge wengi ni wa ccm na walishatishiwa nyau na mwenyekiti wao. na ukizingatia huyo ni mwanae mpendwa++.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Ni aibu sana mke, mume na watoto familia moja wote kuwa facebook

    huwa najiuliza kama mke na mume na watoto mna mawasiliano ya karibu kuna haja gani kurushiana post na ku-reply na ku-like na ku-share? kama kuna mjadala si mufanye ana kwa ana tu? kuna kuiga kwingine kwa kijinga sana. sasa mzazi ukiona post za picha za utupu za marafiki wa watoto wako utamlaumu...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mashirika ya kimataifa yawalaani Magufuli, Makonda

    kwani hamjatosheka na hayo magari ya kifahari mliyohongwa na wauza ngada?
  11. I

    JamiiForums Tanzania Nape alichukia siku alipovuliwa ukatibu uenezi wa CCM

    ukitaka kujua ukali wa kuku jaribu kukamata kifaranga chake. lazima akuparure.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    ni ushamba kuweka traffic lights kijijini chato, na ni ushamba kujenga international airport kijijini chato kwa ajili ya kutua kunguru.
  13. I

    JamiiForums Tanzania CCM hawajalaani uvamizi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar

    serikalini na kwenye chama sauti ni ya mmoja tu. yadumu matendo na maneno ya mwenyekiti.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini taasisi ya LHRC ina uongozi wa kudumu?

    huyo mama angekuwa kazi yake ni kuisifia serikali mngekaa kimya. msipende kuingilia katiba za taasisi huru. halafu mkiitwa madikteta mnakasirika.
  15. I

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape na Naibu Waziri wa Utamaduni DONG WEI wa China wasaini mkataba.

    ish!! kwa hiyo hata wewe ni talanta? mwe!
Back
Top Bottom