Recent content by IDUNDA

  1. I

    Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

    huyo tumkwapue haraka arudi home na tumpe kitengo chenye maslahi bora kwenye hospitali zetu, wamarekani hawachelewi kumbembeleza achukue uraia wao ili awe mmarekani afanye kazi hukohuko atibu watu wa hukohuko. aje atibu watz na afundishe watz wafike alipofikia yeye.
  2. I

    Simba SC yamfukuza kazi kocha wake Logarusic

    simba nayo timu? siku hizi ni yanga, azam na mbeya city tu. wengine tulishawasahau kama wana exist!
  3. I

    CECAFA Kagame Cup 2014, Rwanda

    pale kigali mwaka huu yamepoa sana. nimeamini tz mpira unapendwa watu huwa wanajaa, lakini huko kwingine naona viti vitupu vingi sana. labda jana tu wakati APR na ATLETICO wanacheza.
  4. I

    Hakuna aliye juu ya sheria

    we umetumwa au wamekufunga, mbona una hasira sana?
  5. I

    Kwa mara ya 1 wanaidegenda wameliona greda

    hapo idunda wamefika aisee walau baiskeli na pikipiki zifike? kiwalamo, kimala, idunda, mhanga, itonya etc. uliyeko huko tujuze.
  6. I

    Never give up

    my dad had a dream to have me, na mimi ni wa mwisho katika watoto nane, true story! seven sisters, and i am the last born only begotten brother. na mama yangu ndio alikuwa anafunga uzazi kwangu.
  7. I

    MAFUNZO YA TFDA mwaka 2014 ratiba!!!!!!

    jamaa yangu mmoja alienda hapa dsm walishafanya mwaka huu, sijui wapi watafanya tena mwaka huu ila yaweza kuwa sio dsm.
  8. I

    Kigezo gani kinaipa uzito ndoa ya kanisani isivunjike katika dunia ya sasa?

    kidunia inavunjika, lakini kibiblia yaani kiroho haivunjiki hadi kifo kiwatenganishe au Yesu aje. kwahiyo ukitaka kuishi kidunia na kupinga mafundisho ya Bible ni wewe tu, kuna njia mbili ya kwa shetani pana sana na ya kwa Mungu ni nyembamba kwasababu inahitaji watu waliojisacrifice. ya shetani...
  9. I

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    You are very right. Hata katika kitabu cha malaki imeandikwa Mungu anachukia kuachana. ukiona unaachana tu ujue Mungu anachukia kitendo unachokifanya. na kama ukiachana basi usioe au kuolewa tena hadi mmoja wenu afariki kifo kiwatenganishe. bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI
  10. I

    rafiki yangu anaomba msaada wa kisheria

    ndoa ni muungano wa watu wa wili kiroho lakini ukija kidunia lazima registration iwepo ndipo itatambulika na sheria, ama la kama registration haipo na kuna mtu anataka kudhulumiwa mfano katika kugawana mirathi au mali basi presumption of marriage imewekwa na sheria kumuokoa. kama hakuna wa...
  11. I

    rafiki yangu anaomba msaada wa kisheria

    unaongea bila uhakika, hakuna registration talaka inatolewa kutoka wapi sasa...
  12. I

    Hatimaye maji yaanza kutoka Kimara na Ubungo

    jana nimenunua maji ya shilingi alfu kumi na saba madumu 17. mabomba yapo hadi ndani lakini hayatoi maji. inauma sana aisee.
  13. I

    MTOTO WA NJE YA NDOA nifanyeje nipate thamani kwa wazazi wangu?

    katika maisha usiangalie wanadamu, wanadamu ni maua na upepo tu. MWANGALIE MUNGU yeye ndiye aliyekuhifadhi hadi leo hii, na yeye ndiye anayetoa riziki kwa wanadamu. hata wanadamu wakutenge namna gani, hata wakikuwekea vizingiti namna gani KAMA MUNGU AMEWEKA TIKI KWAKO utakuwa na bright future...
  14. I

    Mzee wa tuzo tano akicheki mpira wa mchangani

    nani kwani uyo?
Back
Top Bottom