Mkulu nimeshindwa kuelewa kauli zake ipi ni sahih kati ya ile ya kwamba aliombwa na wazee akachukue fomu na hii ya jana ya kua hakuwahi kishauriwa na mtu yeyote kichukua fomu aliamua mwenyewe!!!!!
Kama wakiwa na upeo wakufikiri wataelewa kwa wasomi walishaelewa siku nyingi na mfano mzuri ni kile walichokifanya Arusha kwa Mh Rais wa TLS Lisu, wasomi hawaburuzwi tatizo ni wale wasiojua nyuma wala mbele na humu tunawaona wanavyoshabikia vitu vya kijinga wasivyo vielewa
Napenda mh Rais aendelee na msimamo huohuo mpaka 2020 kutoshauriwa,kutopangiwa, kuamua kila kitu yeye kutowasikiliza wadau na wazee wote wa chama nitafurahi sana kazi itakua nyepesiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.