Kuna familia ya mjomba wangu imeishia pabaya sana. Najitahidi kuamini vinginevyo lakini akili yangu inaniambia ni laana.
Mjomba wangu alikuwa ni msomi wa Ph.D na alikuwa na pesa kama uchafu. Majumba, magari na miradi mingine kibao. Alikuwa na mke na watoto watano wa kike wawili na wa kiume...
Tafuta hela wewe, mambo ya u-introvert na u-extrovert hayatakusaidia lolote.
Anyway, kuna hawa wanaitwa ambivert, hawa wanakuwa na sifa zote za u-introvert na u-extrovert.
Binafsi namfahamu mhindi mmoja tu personally, nilisoma nae (classmate) sekondari. Alikuwa mshikaji wangu, shabiki kindakindaki wa Chelsea, alitusimanga sana mashabiki wa Arsenal enzi za Wenger.
Kusema na ukweli jamaa alikuwa mtu poa sana na mtu wa watu.Siku moja moja amenitoa sana misosi ya...
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Jiwe nae aliajiri Walimu kama mara mbili hivi. 2017 aliajiri walimu wa sayansi na 2019 kipindi cha uchaguzi aliajiri walimu 8000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.