happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
- Thread starter
- #81
Wewe ndio mshamba kuchukia mtu na mpenzi wake wakiishi maisha yao.Sio kila mtu umuonyeshe hadharani.
Rayvan anachomfanya Paula chumbani hakuna asiyejuwa .
Sasa kuna haja gani ya kuutangazia umma?
Kama sio kuwafundisha uhuni watoto wetu?..
Aache ushamba.