Hata usikubal shoga yangu, mchunie 2 angekuwa na nia nzur angekwambia tangu mwanzo kuwa anakupenda ingawa ana mke, ww ndio u decide. Pole mwaya utampata wako il uwe unalala na kuamka nacho.
Pole kaka, ckuhzi uaminifu baina ya wapenz nimdogo sana. Pia lov distance ndio imemtesa sana, huyo mkeo ameshachakachuliwa chakufanya mkapime muendelee na maisha. Sina hakika kama nawewe huko daslam uko safe bila kimwana. Tofaut nikwamba umemgundua ila ajakugundua so inaweza ikawa ngoma droo kaka.
Hiyo inamaanisha kuwa, cku ya Eid wazaz wanajitahd cku hyo kuandaa either chakula cha pekee kwa familia ili kushirik pamoja cku hyo ndio nafasi pia kwa mkaidi kufaidi, kwa sababu kutakuwa na wagen kwa hyo itakuwa ngumu kwa mzaz kusema lolote mbele yawagen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.