Dr.slaa msafara wake ulikuwa sawa na msafara wa mkuu wa nchi vyombo vya usalama mkoani kigoma kwa mara ya kwanza walionyesha protocol ya hali ya juu kwa kiongozi wa upinzani hapa nchini,mkutano wa kigoma ulifurika na wananchi walio wengi walikuwa niwale wenye akili timamu na walionyesha utulivu...
dr.slaa alipokelewa kigoma mjini kwa heshima kubwa ya kiuongozi nina amini mapokezi yale hajawahi kupokelewa popote pale kwa heshima kubwa ya kiuongozi kama alivyopokelewa kigoma pamoja na vitisho vya waigizaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.