jamani kwani polisi wanashuka toka mbinguni? Ni wanadamu wa kawaida kabisa wana shida na raha,wana chungu na tamu..so hata kuiba kwao ni kawaida tu,sasa vyombo vya habari kuwalinda manake nini..nakubaliana na mwana jf aliesema mfumo ndio unaoongoza nchi...kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Mbona hii ishu imekaa kimajungumajungu hivi, kama kweli unataka kufahamisha umma si ungefunguka full details,sasa sisi tuna muda wa kuanza kuuliza nani katoka Arusha hapa au alimwekea sumu bosi wake...!
Siku moja jamaa alikuwa katika matembezi ya jioni akiwa na mke wake; katika tembeatembea yao wakapita sehemu yenye jengo jipya la hotel, yule jamaa akamwambia mkewe vyumba vya hotel hii vidogo...mkewe akaongeza...hata vitanda vyake si vizuri vina kelele sana...mume akaja juu 'we umejuaje vitanda...
kama angemaind sana ningemuuliza kama alternative ya pili ya kutafuta tuition kutoka kwa machangu ni nzuri zaidi ya hizo cd ambazo hazina madhara zaidi ya kuongeza ujuzi unaompagawishaga kitandani!
kiagata hiyo ni mada nyingine kabisa, kiongelewacho ni msamiati uliotumika..ishu ya faida au hasara alieanzisha mada wala hana mpango nayo..nenda kwenye uchumi post hiyo kitu utachangiwa mawazo
kwani chief umelazimishwa kusoma,mbona una kiherehere..usijifanye moderator wa post za watu! Unalaumu ishu ya kulalamika wakati we mwenyewe katika post yako unalalamika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.