Recent content by Icon Special

  1. Icon Special

    Mnaotumia huduma ya Songesha ya Vodacom kuweni makini huduma hiyo imejaa utapeli

    YAJAYO YANAFURAHISHA "" Je, upo tayari... !!!??? "". _afu kwa jeuri wanakwambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28] "" Vodacom kazi ni kwako.""
  2. Icon Special

    Nasikitika nimepoteza muda wangu

    Sa mbn humalizii, kwahio muda wako uliishaje kizembe hivyo!!??
  3. Icon Special

    Samaki wa bure

    Bila shaka utakuwa na bandama [emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Icon Special

    Samaki wa bure

    Asa we utachekaje wakati huna bandama!!?![emoji28][emoji28][emoji28]
  5. Icon Special

    Samaki wa bure

    ,[emoji12][emoji12]We unaonaje mkuu
  6. Icon Special

    Samaki wa bure

    Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji. Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote. Sikumbuki nini kilitokea lakini...
  7. Icon Special

    Inasisimua kweli...

    Profesa alipo ingia darasani alianza na mada nzito sana. Wakati alipogeukia ubaoni, mmoja wa wanafunzi alipiga filimbi. Aligeuka, akatazama darasa na akauliza jina la aliepiga filimbi. Hakuna aliyejibu. Profesa kwa amani aliweka kalamu mfukoni akasema: "Tuachane na hilo Mada inaishia hapa...
  8. Icon Special

    Inasisimua kweli...

    Profesa alipo ingia darasani alianza na mada nzito sana. Wakati alipogeukia ubaoni, mmoja wa wanafunzi alipiga filimbi. Aligeuka, akatazama darasa na akauliza jina la aliepiga filimbi. Hakuna aliyejibu. Profesa kwa amani aliweka kalamu mfukoni akasema: "Tuachane na hilo Mada inaishia hapa...
  9. Icon Special

    Chanzo cha wanaume kufa mapema

    Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake! Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza...
  10. Icon Special

    Tupia jina la member unayefahamiana nae

    Me nlikutana na Ushimen ilikuwa n mwezi mtukuf wa Ramadhan mwaka huu nlikuja at the part time Dom, sikuamin the way alipa back ground ake ya life it's amazing, Kumbe n Bonge la Engineer I never seen before
  11. Icon Special

    Dereva wa basi la Shabiby (T 706 DPS) kutoka Mbeya kwenda Dodoma anakimbia sana hata kwenye milima ya Nyang'oro

    Huyo anyeleta Jeuri wakat mtu anatetea nafsi za watu wengi kwenye Basi wasije pata ajali yakawa maafa mengine, ningekuwa n kapuku mm angeisoma Number na angejutrraahh ningemkazia kinoma, Kwanza ningepiga simu SUMATRA, then police au tragic yeyote wale ambao wanaingiaga kuwauliza abiria kihusu...
  12. Icon Special

    Watoto wa siku hizi....

    Masada wa kuhusu nn!!??
Back
Top Bottom