YAJAYO YANAFURAHISHA
"" Je, upo tayari... !!!??? "".
_afu kwa jeuri wanakwambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
"" Vodacom kazi ni kwako.""
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji.
Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini...
Profesa alipo ingia darasani alianza na mada nzito sana. Wakati alipogeukia ubaoni, mmoja wa wanafunzi alipiga filimbi. Aligeuka, akatazama darasa na akauliza jina la aliepiga filimbi. Hakuna aliyejibu.
Profesa kwa amani aliweka kalamu mfukoni akasema: "Tuachane na hilo Mada inaishia hapa...
Profesa alipo ingia darasani alianza na mada nzito sana.
Wakati alipogeukia ubaoni, mmoja wa wanafunzi alipiga filimbi.
Aligeuka, akatazama darasa na akauliza jina la aliepiga filimbi.
Hakuna aliyejibu.
Profesa kwa amani aliweka kalamu mfukoni akasema:
"Tuachane na hilo Mada inaishia hapa...
Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake!
Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza...
Me nlikutana na Ushimen ilikuwa n mwezi mtukuf wa Ramadhan mwaka huu nlikuja at the part time Dom, sikuamin the way alipa back ground ake ya life it's amazing, Kumbe n Bonge la Engineer I never seen before
Huyo anyeleta Jeuri wakat mtu anatetea nafsi za watu wengi kwenye Basi wasije pata ajali yakawa maafa mengine, ningekuwa n kapuku mm angeisoma Number na angejutrraahh ningemkazia kinoma,
Kwanza ningepiga simu SUMATRA, then police au tragic yeyote wale ambao wanaingiaga kuwauliza abiria kihusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.