Jaman dada joy Umesahau mara hii.... Kumbukumbu zimeenda wapi??? tafakar Pls Mwaka Jana wapi ulikuwa unajiita joy plus kumpenda mume WA mtu kumbe wote uongo wewe ni dume
Ha ha ha ha uuuupsi mara pwaaaaa
Chizi Maarifa Hujambo za masiku
Ivi Unakumbuka ile story yako ya kumtaka mune wa mtu. ulifanikiwa Shogaa angu cos Ulisema kwa vyovyote lazima umpate.
God have a mercy on us. Aisee hta Kama tindu kisu ni mbaya huwez kumuombea mabaya.
tuweke siasa pembeni yeye Binadamu kaa sis Sijui Unapata dhawabu gani kwa kumuombea mabaya???huwez kuwa yeye Na huwez chukua cheo chake.. Mungu ndiye mwenye mamlaka ya kuhukumu.
Get well soon Tindu lisu...
Movie hii muda si mrefu utasikia
......TO BE CONTINUEDIIIIIIIIIIIII......
tunaenda kaa bendera fuata upepo matokeo ya form four kimyaaa njaa kimyaaa sasa madawa tuuuuu .....
MUNGU TUSAIDIE SIJUI HAWA WATU WANATUIBIA NN AU KIPI KINAENDELEA NDO WAKATUDANGANYA NA MADAWA YA KULEVYA
C
Google uangalie 10 Most billionaire kwa afrika na 10 most billionaire kwa dunia nzimaa mwishowe uje uangalie matajir WA Tanzania ndo utajua kuitwa billionaire sio kwa na 50m
Tupo pamoja kamanda
Changes n challenge are there waambie serikali na kumfunga mtu mdomo sio njia sahihi...yapasa wakubali mabadiliko tunayotaka watanzania wengi
Mungu ibariki jamii forum dhid ya watu wachache wenye chuki na wasiopenda mabadiliko
Asante zuhura Na wakili wetu.....kumbe hta kuhojiwa bado sijui wanapima akil za watu had Lin
Kama mnogopwa kusemwa kwa huu uongoz wenu bhas jirekebishen
Sijui uhuru wa habar upo wapi? ?
Mungu mpe moyo wa kuhimili mateso na majaribu max asitoe taarifa yoyote. .
Ni vigumu kusifia nyie serikali kwa kila mfanyalo. .mengine lazima tuwaambie mmekosea na mbadilike. Kaa hamtaki msisome jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.