Elimu bure ndio hiyo ila nasikitika kuona watoto wetu wa shule za msingi wanasoma ikiwa wanakaa chini sasa kwa swala kama hili mi sikubaliani na hilo swala la elimu bure kwani mazingira yenyewe wanayoyatumia wanafunzi ni magumu xana je serikali imejipangaje ili kuhakikisha wanalishughulikia hilo...
Hili swala la elimu bure ni swala ambalo yatupasa tuliangalie kwa jicho la tatu na tusipokuwa makini basi elimu ya tanzania inapoelekea ni pabaya xana kwani hata baadhi ya majengo ya shule nyingi za msingi ni chakavu na hayatamaniki sasa inakuwaje tunafurahia elimu bure na ikiwa mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.