Swali kama hili unaulizaje hapa kiongozi. Anyway hiyo ni private network ambayo ili uweze kutumia kwenye simu basi lazima simu iwe connected na network ya office husika.
Hizi ni sawa na kusema private network (ndani) na public network (umma). Kwa lugha rahisi, mtandao wa umma ni intaneti ya kawaida ambayo unatumia, probably hata sasa hivi. Private network inatumika kwenye eneo fulani pekee na inakuwa na miundombinu yake inayoruhusu ubadilishanaji taarifa...
Chief
Kiongozi naomba kujua maharage ya dukani kama ulivyomaanisha hapo juu yanapatikana wapi, na uzaaji wake ukoje, masharti na taarifa nyingine za msingi zikoje. maana hapa nilipo (Dodoma) nimejaribu kuulizia sijayaona ila yale ya sokoni yapo mengi. NINAYOLENGA HAPA NI YALE YA NJANO...
Wenye biashara zao watakuja kununua zote na kwenda kuziteketeza kiongozi. Labda uweke ukomo wa kiasi cha kununua kwa mtu mmoja pasipo mtu huyo kujirudia. Hata hivyo, ni wazo zuri sana, natamani Serikali ingekuunga mkono but najua haiwezi.
Hivi unafurahiaje matatizo ya mwenzio, halafu taarifa yenyewe ni speculation tuu. Watu tunapenda sana kuhukumu aisee na je umewahi hata kuwaombea katika Utumishi wao au tunasubiri mtu akosee tupate content?
Jamani biblia haisomwi hivyo, jaribu kuelewa context nzima ya hizo sura na mistari. Inawezekana una hoja ila, ijenge vizuri. Otherwise, utajipotosha na kupotosha wengine.
Lakini pia, Mungu wetu wakristo tunayemwamini hatetewi na mtu bali anajitetea mwenyewe na kulitetea jina lake. Sina uhakika...
Bila kuathiri mada yako ni vema ujue yafuatayo
1. Naamini unajua sio kila likizo ina malipo, mtaenda wote likizo lakini watakaolipwa ni waliopangwa kulipwa kwa wakati huo.
2.Malipo ya fedha za Likizo hutegemea uwepo wa fedha. Kuna wakati fedha huletwa pungufu na Serikali na hivyo hulipwa kwa...
Aisee uzi wa propaganda huu, vita haina mshindi kamwe. Ukweli mnajua sijui kwa nini mnatumia nguvu kubwa namna hii kuainisha mbabe wa hii vita. Muda utaamua, hakutakuwa na mshindi mwisho wa siku ila kuna upande utapoteza sana na mwingine utapoteza kidogo.
So far mpaka sasa Palestine inapoteza...
Hapo mwisho sijakubaliana, kwa maono aliyo nayo kwenye Kilimo aendelee kubaki hapo at least for some 10 yrs. Tutafika mahali pazuri, lkn pia Serikali isaidie zaidi mechanisation kwenye Kilimo.
We are still brushing around ili kuepusha lawama. Sio mbaya by the way, lakini Wizara inapaswa ianze maramoja utekelezaji wa kuanzisha vyanzo mbadala na kupanua kinyerezi power plant inayotumia gesi asilia.
I hate that tunatetea watu waliopewa dhamana fulani lakini hawazisimamii ipasavyo. Sasa...
Nafikiri hapa inaangaliwa dhamira ya Waziri husika. Hivi, kwa vyovyote vile Tanzania ni ya kuwa na mgao?
Sioni sustainable investment kwenye gesi, na alternative energy sources ambazo zingemaliza kabisa tatizo la umeme Nchini.
Mr. Makamba na Mr. Chande inasemekana ni smart sana but mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.