Recent content by Ibrahim mgaya

  1. Ibrahim mgaya

    Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

    Umejuaje we jamaaa utakuwa nabiiii [emoji41][emoji41]
  2. Ibrahim mgaya

    SoC02 Elimu ya Mahusiano ianze kutolewa shuleni

    Kwa nchi hiii au tungojee nchi nyingine
  3. Ibrahim mgaya

    SoC02 Elimu ya Mahusiano ianze kutolewa shuleni

    Kweliiiiii kabisa umeongea fact sana LAKINI sidhani kama umefikilia upande wa hasara zake yaani ukweli ni asilimia 20 na madhara ni asilimia 80 nahisi unajua watanzania tulivyo ukisikia utataka kujalibu tyu ukimfundisha mtoto elimu ya mahusiano akisha jua unadhani atasubiri mbaka akue na...
  4. Ibrahim mgaya

    Naomba mchanganuo wa gharama za ujenzi wa uzio kwa kutumia wire

    Ndugu ungetaja hata upo wap naweza kukutajia bei za njombe ambako gogo buku jelo kumbe upo dar vilevile kwenye waya upo wap vilevile kuchima mashimo udongo wa aina gani utakuja kulopokewa bei humu ukimbie
  5. Ibrahim mgaya

    Nimeona Madawa ya kulevya yanauzwa Tandika Sterio, Polisi fuatilieni

    Kaka umetoa taarifa nzuri lakini kuna mambo mawili matatu jiulize je we ndo wakwanza kuona je una usalama gani wewe hapo ulipo kumbuka this is Tanzania
  6. Ibrahim mgaya

    Ulianzaje kukaa gheto?

    [emoji123][emoji123] story lako fup ila mmmmmh inaonyesha pana jitihada ulifanya hongera ndugu
  7. Ibrahim mgaya

    SOLD: Nauza ghorofa na pamoja na nyumba ya chini zote kwa bei moja

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Ibrahim mgaya

    Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman mwenzenu anauza gariii acheni hizo
  9. Ibrahim mgaya

    Malipo ya sensa

    Haizidi 500000
Back
Top Bottom