Si dhani km Mungu wa mtikila ndiye tunaye muabudu huenda ana abudu miungu(the gods)ila pesa jamani inatisha km Dr.Slaa naye akawa yuda iskarioti.sijui yeye atajinyongea bustani ipi !!!
Kipindi cha chunvi,upande wa khanga elfu tano na t.shirt kimekaribia.jiandaeni kuchukua hizo ni kodi zeni.kura pigia ukawa ili mungu akupe maisha marefu .
Wapiga kura wa lushoto poleni kwa kumpoteza kamanda mtui.nawaomba kitu kimoja tu !! Atakaye teuliwa na ukawa kuziba pengo hilo~mpeni kura za mahaba ili mjifariji wenyewe,kumbukeni ccm wanashangilia kwa tukio hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.