Recent content by Ibra_Chabenz

  1. I

    Guinness my bia..

    Raha ya pombe ni uinywe alafu isituvunjie heshima Kwa mkeo. Kuna bia zinalaza maumbile ya kiume,piga ya garagaza. Mkeo akiwa na roho nyepesi atakwambia umegonga nje. Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
  2. I

    Msaada: Nataka kuacha kazi ya kuajiriwa na nina mkopo benki niliochukua na kuweka mshahara wangu dhamana

    Maisha ya kazi hata kama unalipwa milion mbili.....inabidi uhakikishe umejenga nyumba ya maana, umeoa na Una shamba Kwa ajili ya kulima mazao ya chakula cha familia,trust me hata wakikufukuza utamshukueu Mungu kwasabab Una nyumba,Una mke na unaweza kulima. Kwenye ajira kuna ujinga mwingi...
  3. I

    Rostam Aziz akubaliana na Yanga kununua hisa 29%

    We utakuwa Mwananchi. Nisaidie link ya whatsup please kwenye dm yangu. Nilifrash SIM ikapoteza magroup yangu ya Yanga. Usiitume humu wanawake wataidandia Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
  4. I

    Mtandao wa Vodacom umekuwa kero

    Biashara ya voda,tgo, Airtel,halotel,ttcl na mingine nisiyoijua...inafanana yote kwamaana wote wanaangalia faida na vifurushi vyao vinafanana. Mimi nimehama mitandao mpaka nkachoka. Sasa hv Nina laini mitandao yotee Ila kila siku nashindwa nichomeke laini ipi au Niache ipi. So chagua mtandao...
  5. I

    Mwenye uwezo wa kuwekeza kwenye mawazo yangu yanayohitaji Pesa tu ili yaweze kuwa utajiri na kunisahaulisha machungu ya Elimu yangu iliyouwawa namfumo

    Uko vizuri kujielezea mshikaji wangu. Naona MALENGO yako yameanzia kiasi kikubwa Sana cha hela kitu ambacho kinaweza Fanya usiaminike,na vile umetokea mkoa wa dar ambako unaaminika Kwa utapeli,sijamaanisha we ni tapeli. Labda Kwa ufupi,unahisi Una kitu chochote ambacho kitamfanya mwenye...
  6. I

    Biashara ya samaki

    Kwa mnaoona hii post,kama kuna mzoefu wa masoko ya dagaa Safi dar, na kama kuna mwenye soko la dagaa ya mifugo tuongee inbox
  7. I

    Biashara ya samaki

    Mshikaji tutafutane niko Mwanza pia kama uko serious 0764789563
  8. I

    Biashara ya samaki

    Boss,inaonekana Una ujuzi Kwa hii biashara,Niko interested Sana Ila ishu ni kwamba walio wengi wanaoifanya ukiwadadisi wanakudanganya wanakupa habari zinazokuchanganya ilimradi uione biashara ngumu uiache. Tusaidie mawazo,binafsi Niko Mwanza na natamani kupeleka samaki au dagaa dar. 0764789563...
  9. I

    Dagaa wa visiwa vya Bukoba

    Kila siku natafuta mtu aliyeko dar au Arusha,anayehiyaji kusambaza dagaa za Bukoba zisizo na mchanga. Eidha anunue yeye au atafute masoko Mimi nilete dagaa,kusafirisha ni juu yangu naleta mpaka sokoni tunauza alafu mi na wewe tunalipana alafu nasepa zangu.
  10. I

    Ushauri: Nataka kujenga nyumba kwa Shi. Milioni 27

    Mkuu hiyo hela yako inatosha Sana,mi nakushauri ujengee kwenye makaratasi Kwanza,piga hesabu ukiwa na fundi wako. Na baada ya hapo ndo uanze kununua vifaa,epuka kununua kadri ya matakwa ya fundi na usijifanye kama Una hela. Fundi akisema msingi mzima unahitaji cement 80 we nunua 25 weka stoo...
  11. I

    Madaktari Mt. Meru Arusha wala njama kumuua mgonjwa

    Kesi kama Hz ni za kawaida Sana mbona? Ndugu Wana haki ya kuomba discharge hata kama mgonjwa anataka kukata Moto. Sasa subiri muone Binadamu walivo wa ajabu, Nina uhakika ndg waliomba kuruhusiwa ili wampeleke sehem nyingine,na baadae ndo wakaamua kubadilika hv. Khaaaa Binadamu hadaaa unaweza...
  12. I

    Madaktari Mt. Meru Arusha wala njama kumuua mgonjwa

    Muache lugha za uchonganishi. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. I

    Madaktari Mt. Meru Arusha wala njama kumuua mgonjwa

    Mimi nadhani walioongea haya mi ndg WA mgonjwa na wana hisia zao juu ya mgonjwa wao. Pia hii ajali haina tofauti na ajali nyingine zinazotokea kila siku,Ila hii naona imechukuliwa tofauti eti kwasabb kagongwa na mwanjeshi kitu ambacho sio sahihi. Tatizo la ndugu wa wagonjwa huwa wanabaa,Kwanza...
  14. I

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    We uko wapi boss! Una uhakika na masoko ya dagaa chafu?
  15. I

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Duh! Kwani Kenya utaendaje bila connection? Alafu ukizingatia yeye ndo anajua masoko yalipo. Nikipata mtu wa kuniunganisha Kenya naweza Fanya mwenyewe
Back
Top Bottom