Wewee
Maisha ya Kiumbe chochote kile formula yake anayo Muumba wetu pekee
Sio kwa Ujanja wa Kiumbe chochote walaaa
Na ukitaka kubisha kuhusu hilo jiulize swali moja
Hivi hakuna watu waliwahi kumiliki pesa zaidi ya Bilion na sasa hawanaa?
Ukibisha kuhusu hilo jiulize je? Mafisadi waliochota pesa...
Hakika Maisha yana Changamoto zake
Kama kuna mtu aliwahi kutajirika na akafirisika unafikiri tatizo lilikuwa ninii?
Alikosa kuweka akiba?
Alikosa Akili?
Au alipatwa na nini?
Ukipata jibu la hayo nilouliza basi elewa sio kuwa kuwa tajiri kwamba una akili sana au unajua kutafuta kuliko wengine...
Huu mziki ujue sio kila siku itakuwa hivi
Siku nyingine zinapita patupu
Niambie hapo Akiba inawezekana
Yawezekana na kukosa ulishakopa ili uweze kusonga bila hivyo mm mi simoo
Unapoongelea swala la kuweka akiba zingatia na kipato chako unafanya kazi gani!
Machinga wa mtaani kuweka akiba aisee labda kama una biashara kubwa
Vinginevyo mmm kasheshee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.