Recent content by IBONELO

  1. I

    Greetings: Happy merry christmas and happy new year 2022. To all JF users

    Amina wapendwa Muumba Wetu Awabariki Sikukuu hii iwe njema kwenu
  2. I

    Waziri Ndalichako, naona kama Elimu haiendeshwi naye bali inajiendesha yenyewe

    Hapo ndipo mtihani ulipo Mi mwenyewe binafsi sielewi
  3. I

    Rais Samia kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini

    Mi naona mama yuko vizuri sana kwa mtazamo wangu watendaji wake sasaa ndio...
  4. I

    Rais Samia kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini

    Ratiba walivyoipanga ndio Kizungumkutiii Hamna mjadala hapo
  5. I

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Wewee Maisha ya Kiumbe chochote kile formula yake anayo Muumba wetu pekee Sio kwa Ujanja wa Kiumbe chochote walaaa Na ukitaka kubisha kuhusu hilo jiulize swali moja Hivi hakuna watu waliwahi kumiliki pesa zaidi ya Bilion na sasa hawanaa? Ukibisha kuhusu hilo jiulize je? Mafisadi waliochota pesa...
  6. I

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Yanayomkuta Ndg yangu Polepo, au yatakayomkuta yapo nje ya uwezo w... Hapo kama mwelewa huitaji Shulee Majibu unayo mwenyewe
  7. I

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Hakika Maisha yana Changamoto zake Kama kuna mtu aliwahi kutajirika na akafirisika unafikiri tatizo lilikuwa ninii? Alikosa kuweka akiba? Alikosa Akili? Au alipatwa na nini? Ukipata jibu la hayo nilouliza basi elewa sio kuwa kuwa tajiri kwamba una akili sana au unajua kutafuta kuliko wengine...
  8. I

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Huu mziki ujue sio kila siku itakuwa hivi Siku nyingine zinapita patupu Niambie hapo Akiba inawezekana Yawezekana na kukosa ulishakopa ili uweze kusonga bila hivyo mm mi simoo
  9. I

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapohitaji kufanikiwa

    Unapoongelea swala la kuweka akiba zingatia na kipato chako unafanya kazi gani! Machinga wa mtaani kuweka akiba aisee labda kama una biashara kubwa Vinginevyo mmm kasheshee
  10. I

    Mpo upande gani na wajibu wenu ni nini?

    Muda nao unakwenda mbio
Back
Top Bottom