Waziri Ndalichako, naona kama Elimu haiendeshwi naye bali inajiendesha yenyewe

markp

Senior Member
Sep 26, 2013
181
299
Prof NDALICHAKO YUPO kwenye wizara ya elimu tangu awamu ya hayati Magufuli kama waziri mpaka sasa lakini naona kama elimu haiendeshwi nae inajiendesha yenyewe.

Kuna shule inaitwa NGUVU MPYA SEKONDARY ipo chanika maeneo ya nguvu kazi, kidato cha kwanza pekee wapo 636 nimekwenda wiki iliyopita kuangalia matokeo yao nikakuta wanafunzi karibu 200 wamepata sifuri kwenye hesabu. Na waliobaki karibu wote wana maksi chini ya 10 matokeo yamebandikwa sidanganyi.
Nilipowauliza walimu mbona wanafunzi wamefeli hivi wakasema shule nzima ina walimu 2 tu wa mathematics. Wakasema hao wawili wanaingia zaidi kwenye madarasa ya mitihani.

Mtaani kuna walimu wenye sifa waliomaliza vyou hivi kwanini msiwachukue hata kwa muda wajitolee kwa pesa ndogo isiyo na makato. AJira hamtoi, kukagua hamkagui. Hamjali idadi au uwiano wa walimu na wanafunzi mnatia aibu sana.
Mh Kikwete alikuwa msikivu kwenye elimu alipoona walimu hakuna kabisa akaweka wa haraka. Kweli wana madhara lakini walisaidia sana. Sasa ninyi walimu wapo kibao mtaani afu mnaleta maudhi kweli. Watoto zaidi ya elfu walimu wa mathe 2 dah

Na mwaka huu wanaongezeka form 1 mia 6 ila walimu wale wale. Hapo form four hawakuwa wengi.
Kuna siku nitaandika uozo wa elimu ya Tanzania kwa kutoa mifano hai.
Prof Ndalichako na serikali mnatengeneza bomu . Ila chanzo ni jiwe maana ajira aliweka mfukoni afu wanafunzi akawaongeza.
 
Prof NDALICHAKO YUPO kwenye wizara ya elimu tangu awamu ya hayati Magufuli kama waziri mpaka sasa lakini naona kama elimu haiendeshwi nae inajiendesha yenyewe.

Kuna shule inaitwa NGUVU MPYA SEKONDARY ipo chanika maeneo ya nguvu kazi, kidato cha kwanza pekee wapo 636 nimekwenda wiki iliyopita kuangalia matokeo yao nikakuta wanafunzi karibu 200 wamepata sifuri kwenye hesabu. Na waliobaki karibu wote wana maksi chini ya 10 matokeo yamebandikwa sidanganyi.
Nilipowauliza walimu mbona wanafunzi wamefeli hivi wakasema shule nzima ina walimu 2 tu wa mathematics. Wakasema hao wawili wanaingia zaidi kwenye madarasa ya mitihani.

Mtaani kuna walimu wenye sifa waliomaliza vyou hivi kwanini msiwachukue hata kwa muda wajitolee kwa pesa ndogo isiyo na makato. AJira hamtoi, kukagua hamkagui. Hamjali idadi au uwiano wa walimu na wanafunzi mnatia aibu sana.
Mh Kikwete alikuwa msikivu kwenye elimu alipoona walimu hakuna kabisa akaweka wa haraka. Kweli wana madhara lakini walisaidia sana. Sasa ninyi walimu wapo kibao mtaani afu mnaleta maudhi kweli. Watoto zaidi ya elfu walimu wa mathe 2 dah

Na mwaka huu wanaongezeka form 1 mia 6 ila walimu wale wale. Hapo form four hawakuwa wengi.
Kuna siku nitaandika uozo wa elimu ya Tanzania kwa kutoa mifano hai.
Prof Ndalichako na serikali mnatengeneza bomu . Ila chanzo ni jiwe maana ajira aliweka mfukoni afu wanafunzi akawaongeza.
Bila kuiondoa ccm tutaendelea kulia na kusaga meno na lawama za kila aina.
 
Prof NDALICHAKO YUPO kwenye wizara ya elimu tangu awamu ya hayati Magufuli kama waziri mpaka sasa lakini naona kama elimu haiendeshwi nae inajiendesha yenyewe.

Kuna shule inaitwa NGUVU MPYA SEKONDARY ipo chanika maeneo ya nguvu kazi, kidato cha kwanza pekee wapo 636 nimekwenda wiki iliyopita kuangalia matokeo yao nikakuta wanafunzi karibu 200 wamepata sifuri kwenye hesabu. Na waliobaki karibu wote wana maksi chini ya 10 matokeo yamebandikwa sidanganyi.
Nilipowauliza walimu mbona wanafunzi wamefeli hivi wakasema shule nzima ina walimu 2 tu wa mathematics. Wakasema hao wawili wanaingia zaidi kwenye madarasa ya mitihani.

Mtaani kuna walimu wenye sifa waliomaliza vyou hivi kwanini msiwachukue hata kwa muda wajitolee kwa pesa ndogo isiyo na makato. AJira hamtoi, kukagua hamkagui. Hamjali idadi au uwiano wa walimu na wanafunzi mnatia aibu sana.
Mh Kikwete alikuwa msikivu kwenye elimu alipoona walimu hakuna kabisa akaweka wa haraka. Kweli wana madhara lakini walisaidia sana. Sasa ninyi walimu wapo kibao mtaani afu mnaleta maudhi kweli. Watoto zaidi ya elfu walimu wa mathe 2 dah

Na mwaka huu wanaongezeka form 1 mia 6 ila walimu wale wale. Hapo form four hawakuwa wengi.
Kuna siku nitaandika uozo wa elimu ya Tanzania kwa kutoa mifano hai.
Prof Ndalichako na serikali mnatengeneza bomu . Ila chanzo ni jiwe maana ajira aliweka mfukoni afu wanafunzi akawaongeza.
Kama ni shule ya kata hamna maajabu hapo,....hata wawe walimu 100,watapiga maziro tu,kazi ya wanafunzi ni kuvaa suruali zilizobana,kuvuta bangi,kuimba singeli,kujiuza kwa mabodaboda na madereva daladala........unategemea nini?
Wanafunzi pia huanza shule wakiwa na maksi ndogo mnoo,.....unakuta huko shule ya msingi mwanafunzi aliingia na F ya hesabu unategemea atapiga A form 2 na 4?
 
Hapo ndipo mtihani ulipo
Mi mwenyewe binafsi sielewi
Hakuna kabisa wao wanafanya kazi as usually ili mradi mishahara inasoma kwenye acc zao.

Hawajisumbui kujua nini mwananchi anahitaji kwa wakati gani.
 
Hivi twambie ni wizara gani inafanya vema kwenye serikli hii labda tuanzie hapo.
nimezungumzia elimu na we ukitaka zungumzia kilimo tamisemi nk soma kwa makini uzingatie. ukijenga vyema wizara ya elimu hata hayo mengne bdae yataenda
 
Ukitaka kuua Taifa lolote UA ELIMU,binafsi sikua fan wa President Mugabe kabisa ila kudos kwake kwa kutoingilia mfumo mzuri wa ELIMU aliourithi ndio maana hadi leo Zimbabwe ipo juu sana kielimu.
Nakubaliana na wewe kwa 100% hadi leo hii zimbabwe inaongoza kwa kutoa watumishi wazuri wa afya.
 
Ndalichako ndiye mwenye mamlaka ya kuajiri? Hivi unafahamu namna nchi inavyoendeshwa?

Huna hoja ya yenye mashiko ya kumtaka Prof. Ndalichako ajiuzulu.

Hizo shule za kata kupata ziro zimeanza leo?
 
nimezungumzia elimu na we ukitaka zungumzia kilimo tamisemi nk soma kwa makini uzingatie. ukijenga vyema wizara ya elimu hata hayo mengne bdae yataenda
Upo sahihi sana lkn jaribu kusoma muuliza swali amelilenga kwenye angle ipi ndiyo uje na jibu lako jepesi namna hiyo.
 
Ndalichako ndiye mwenye mamlaka ya kuajiri? Hivi unafahamu namna nchi inavyoendeshwa?

Huna hoja ya yenye mashiko ya kumtaka Prof. Ndalichako ajiuzulu.

Hizo shule za kata kupata ziro zimeanza leo?
Ndalichako awachie ngazi haraka sana tena sana.

Ameshindwa kuongoza wizara nyeti ya elimu arudi kwao kasulu.
 
Kama ni shule ya kata hamna maajabu hapo,....hata wawe walimu 100,watapiga maziro tu,kazi ya wanafunzi ni kuvaa suruali zilizobana,kuvuta bangi,kuimba singeli,kujiuza kwa mabodaboda na madereva daladala........unategemea nini?
Wanafunzi pia huanza shule wakiwa na maksi ndogo mnoo,.....unakuta huko shule ya msingi mwanafunzi aliingia na F ya hesabu unategemea atapiga A form 2 na 4?
iwe ya kata au ya mkoa unawezaje kufundisha kwa idadi hyo. walimu 2 wanafunz zaidi ya elfu huo ni utani
 
iwe ya kata au ya mkoa unawezaje kufundisha kwa idadi hyo. walimu 2 wanafunz zaidi ya elfu huo ni utani
Shule kama Mzumbe,Kibaha,Feza hata usiwe na mwalimu hata mmoja bado watu watapiga one darasa zima.
Hakuna mwalimu wa kumfanya mwanafunzi apate A kwa nature ya elimu ya Tanzania......labda kwa shule zinazoiba mitihani
 
Binafsi sikubaliani nanyi. Kwasabb wizara ya elimu hivi inashughulika na sera tu, lkn kazi ya kuajir walimui na kusimamia shule yako chini ya TAMISEMI.
Nakubaliana na wewe kabisa ila tukija kwenye usimamizi wa hizo sera unadhani nani yupo karibu wa kutoa ushauri kwa Tamisemi juu ya mahitaji ya walimu ndani ya wizara?
 
Kabla ya kumuhukumu Ndalichako hebu tudadavue kidogo ulichokiandika...

Matatizo;
1. Darasa lina wanafunzi 636
2. Shule ina waalimu 2 wa hisabati
3. Mwaka huu kutakuwa na ongezeko la wanafunzi wengine mia 6

Suluhusho;
1. Darasa liwe na wanafunzi wachache/ Madarasa yaongezwe
2. Shule iwe na waalimu zaidi wa hisabati/ Ajira ya waalimu
3. Waalimu/madarasa yaongezwe kukabiliana na ongezeko la wanafunzi

Swali:
1. Katika hayo yote hapo juu, ni lipi Dr. Ndalichako analifahamu, yaani limefikishwa kwake?

2. Je, sera ya elimu ya CCM ikoje, ili kama utatibu huo ugonjwa hapo uwe kwa shule zote?

3. Je, hili ni la waziri pekee na sio wadau wengine wa elimu kuanzia maafisa elimu n.k?

4. Je, Tamisemi hawahusiki pia?
 
Nakubaliana na wewe kabisa ila tukija kwenye usimamizi wa hizo sera unadhani nani yupo karibu wa kutoa ushauri kwa Tamisemi juu ya mahitaji ya walimu ndani ya wizara?
Inawezekana maombi ya kibali Cha kuajiri walimu yamepelekwa kwenye wizara ya utumishi lkn kibali hakitolewi.

Kwasabb wizara ya utumishi pia lazima iwasiliane na rais. Rais akigoma ajira hazitolewi.

Ajira zozote serikalini huwa hazitolewi bila ya rais kuiruhusu wizara ya utumishi kutoa vibali vya ajira ktk wizara zenye upungufu wa watumishi.
 
Back
Top Bottom