Tusiwe wepesi wa kuhukumu, unahisi Gambo ni mpumbavu wa kwenda kuzindua au kunadi daraja la aina hiyo? Lets dig and gets the fact kwanza, hiyo awamu ya kwanza inayozungumziwa ni ipi tafadhali?
Mostly tunakopa na sio kwamba, mara zote anayekopa amechoka nk. Mazingira hutegemeana. Unaweza ukawa na cash in hardcopy (taslimu) na huna hela eletronically muda huo, songesha might do the needful. After all, tatizo sio kukupa bali, unatumiaje hela husika na je, are you financial liquid...
Uoga ndio umasikini aisee! Katika maisha changamoto hazikwepeki, bali changamoto ni fursa ya kujitafakari na kujidhatiti kuendana na changamoto/ushindani uliopo. And by the way, kila mazingira yana radha ambayo huleta aina ya watu fulani. Awali ilihofiwa Karume kudhoofisha Kariakoo lakini...
Wewe umemwambia aagize chakula then unalalama! Its eaither ungemuaguzia au kumjulisha kwamba, unaweza mnunulia chakula cha kiwango fulani. Kwani yeye alikuja mgahawani kupiga picha! Ukiwa na less balance then stretch according😂
Kaka, majeshi yote hufanya uwekezaji kulingana na hali ya maendeleo ktk sekta ya ulinzi. Aidha, nguvu ya kijeshi kwa nchi za kawaida huwa ni siri. Mataifa yaliyoendelea na baadhi ya mataifa ya Afrika ndio huweka wazi taarifa za maendeleo ya kijeshi. Nakumbuka kuna sherehe za maadhimisho ambapo...
Lengo la onyesho husika ni ukakamavu! Sifa muhimu kwa askari ni ukakamavu na ustahimilivu!
Nilisikiliza kdg ambapo, mshereheshaji alieleza kuwa, wamebeba zana zenye zaidi ya kilo 70 ambazo zinamwezesha kutekeleza majukumu yake kwa siku 30 bila kuhitaji msaada wowote!
Cant u give credit to that...
Genius....? Genius sana! Naona uchambuzi wako umehusianisha kozi ya shahada kama kigezo cha kuwa genius, i doubt kama umeelewa vema maana ya neno genius na genius sana.
Sasa ndugu yangu umekaa na wanywa pombe! Unataka wakushaurije? Nadhani huo ninushauri sahihi kwa aina ya watu unaojihusisha nao. Hebu kakae na Wachungaji kisha uje ulaumu hapa endapo watakuhamaisha kunywa K Vanteee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.