Mrejesho ...
Kheri za mwaka mpya....wanajamvi...
baada ya suluhu za hapa na pale vikao kila siku aliamua kuondoka ndani kakimbia nyumba na kuniacha na watoto 2 (6years old son...2 years..girl) niliona sina budi ya mimi kupambana kiume aliondoka mwezi wa 3 after 3 weeks alirudi na kuniomba...
Unapotowa malalamiko Mara kwa Mara utaitwa mlalamikaji... Watu wapo bize na Yao si sana ku kujali wala kuingilia mambo yako..... MUNGU akubariki sana kwa ushauri wako.... Nilikua na hofu ya Bure tuu kuhs watoto ila nikiwaza naona pia nikiendelea Hali hii itawagusa watoto pia.... Be blessed my...
Kwenye uchumba mambo yalikua tofauti sana kila mtuu alinipongeza kwa kweli hata wazazi pia... Mambo yali badilika alipofika ndani... Hapo ndipo nikaona nisicukuwi uamuzi haraka nikizani atabadilika..
Wapo africa misipo Africa ... Mi kitambo sipo Africa nadhani hi ndo changamoto kubwa sana inasabisha mana a naona Sina pakuchomokea.... Mana huku loss dogo umenyanganywa kila kitu aisee!!! Hata watoto unaweza kupigwa ban nao..... Niki plan nimuachie watoto naona wata sumbuka saana...
Asante sana Mungu akubariki... Kitu kitakacho sababisha niwe mbali na watoto wangu sitaki kukiskia kiukweli.... Huku mwanamke hapigwi.... Utawekwa jela fasta (women abuse)
Habar za saa hizi jameni...
Nimeoa mke miaka 6 iloyopita.. Nilidhani mambo yatabadilika ila Tabia ilizidi kuwa sugu kila kukicha... Tabia yenyewe anaulimi mkali saana. She don't have respect in brief.
Nimejaribu kumsihi ila hamna mabadiliko... Ana dhihirisha hataki tuwe pamoja... Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.