Recent content by Ibariki

  1. I

    Kujuzwa maana ya maneno

    Tumia kamusi ya Kiswahili sanifu toleo la mwaka 2013 kupata majibu sahihi.
  2. I

    Amepoteza pay slip ya NMB, atapataje nyingine?

    Nenda benki utapewa nyingine.
  3. I

    Haya ya HESLB, TCU na ukosefu wa ajira yanaumiza!!!

    Acha kuingiza siasa katika hoja kuntu kama hii. Hapa toa maoni yako kuhusu nini kifanyike kisha sepa. Lowasa atakusaidia nini leo hii? Tumia mbongo sio Cologeti.
  4. I

    Maajabu ya BAKITA :Yatoa tangazo kwa lugha ya kiingereza.

    Ushahidi mkuu ili tuwachambe vizuri kwa kudharirisha lugha yetu.
  5. I

    Dr. Mashinji aishushia lawama serikali kusimamisha ajira mpya na kutoajiri

    Acheni kuongea ujinga hapa jamaa amesema kweli serikali itoe jibu kamili kama hakuna ajira basi watu wafanye mengine. Puumbavu hapa Lowasa kufanya nini? Jenga hoja mkuu acha uchadema na uccm watu wanateseka sana!
  6. I

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Sio mchawi wala siombei watu kukosa kwani hata mimi ni mwathirika wa ajira. Tatizo mwenye wa kutoa ajira ni kungwi mkuu. Hivyo hakuna mwenyeuwezo wa kupiga njuga, vigelegele na ngoma pasi na amri ya kungwi mkuu. Kwahiyo hata wasaidizi wake hawajui kisu cha ngariba kitafanya kazi lini ili kungwi...
  7. I

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Kama mbishi subiri majibu kuanzia tarehe 1/11/2016, utasikia vizuri tu. Mafanikio mema.
  8. I

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Pia mkumbuke hii ni serikali ya kubana matumizi hivyo haiwezi kuingia ghalama ya kukupeleka vodafaster Wakati wapo walimu watalamu waliosomea tena kwa kukopeshwa na bodi ya mkopo. Wakifanya hivyo falsafa ya kubana matumizi itakuwa imewashinda kwa % 100.
  9. I

    Tuliosoma Sayansi na Hisabati tukutane twende kwa Waziri Jaffo kuomba kufundisha sekondari

    Acheni kuvamia fani. Majibu ya bungeni yamejaa siasa tupu! Tokea miezi wa pili wanasema watatoa ajira. Kuna walimu wa hesabu kibao wamemaliza degree UDOM awamu mbili mpaka sasa kwanini wasiwaajiri? Kuna walimu wa physics chemia na biology waliohitimu St John University, Mkwawa University, DUCE...
  10. I

    Hivi nikichelewa kwenda kuripoti chuo watanizingua?

    Nakushauri kama umepungukiwa laki nne nenda chuoni karipoti waambie hali halisi kisha lipa ada ndo urudi kuitafuta.
  11. I

    Tetesi: Waalimu sasa kuanza kupigwa picha pindi wanapoingia darasani

    Kama wanataka wafunge kamera za CCTV kila shule na kila darasa lakini kwa mpango huo hakuna kitu. Hapo wanatafuta njia ya kupiga hela. Mungu isaidie tz.
  12. I

    Time Will Come

    Thanks.
  13. I

    Zamani tuliambiwa somea ualimu upate kazi..sasa je tunaambiwaje..?

    Ona maisha yalivyo kwetu walimu. Mh*Rais* kama usemavyo ww kuwa msema kweli ni mpenzi wa *Mungu* nami leo nasema kweli ili *Mungu* anipende na ww mh usikie kilio chetu sisi watumishi wa serikali hususani *walimu*....Mh Rais Magufuli kpind unaomba kura zetu ulituahidi ~nakunukuu~ ulisema...
  14. I

    Serikali kuhakiki tena upya watumishi kwa mfumo wa kielektroniki

    Tutumiee vyombo tofauti vya habari kama tv magazeti na radio kuullizia ukweli kuhusu ajira lini watatoa majina? Kama kuna ghala tuchangie waajiriwa tarajali hata tsh 500 kwa kila mtu cha msingi serikali itamke wazi. Toa maoni ya kuboresha sio kukanusha
  15. I

    Bainisha dhima za mofimu "li''katika neno Limeshikilia na

    Hapo ndo mjue Kiswahili ni zaidi ya sayansi.
Back
Top Bottom