hongeren polisi kwa kufanikiwa kukamata wahalifu kabla hawajafanilkisha madhumuni yao but tunaomba tupate taarifa za waliovamia kituo cha ukonga mana mnaonekana kuzidiwa kete
jaman hali hii mpaka lini ila tatizo askari wa sasa wamezidi kuwa karibu sana na raia ikiwemo majambazi mfano kitendo cha wao kukaa uraiani binafsi sikiungi mkono
hamna kitu kama hicho mana wanaoamua kuwa rais awe fulan ni wapiga kura utabiri mda fulani hauna ukweli binafsi sijawahi kuona hicho kitu kwamba fulan kwa sababu katabiri itakuwa hivyo hiyo ni bahati nasibu watu wanatafuta umaarufu kupitia njia tofautitofauti
jaman hii inchi wapi tunapelekwa?uongozi utaendelea kuwa mbaya mpaka lini?watanzania tuwe makini katika kufanya maamuzi ya kumchagua atayetuongoza
:spy:
haichangii but kushusha thamani ya pesa yako(devaluation) inanguvu sana ktk ilo cha mcngi watu tujikite sana ktk kuzalisha na ku export zaid kuliko ku import walivyozalisha wenzetu kwa kufanya hivyo tutasaidia kukuza uchumi wa inchi
Ushirikina ktk biashara haukwepeki cha mcngi nunua ktk hp price, toa pesa ya kuanzia then lipa kwa instalment mkuu biashara ndo inavyokwenda kulipa cash kuna faida na hasara zake pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.