Protesters celebrate in Bujumbura May 14, 2015. The head of Burundi's army says an attempted coup has failed and forces loyal to Nkurunziza are in control, a day after another general said he had sacked Nkurunziza. REUTERS/Goran Tomasevic Photo: Reuters
Hivi sisi wa Afrika sijui tumelaaniwa na nani... Kuna raha gani kua kiongozi na mihela mingi, huku ukiwa na maadui, na nchi na wananchi wakiwa kwenye hali mbya ya kimaskini. Badala ya kuongoza nchi kwa heshina na upendo, na nchi na wananchi waka pata maendeleo, Nchi ikapendeza. Hata kama tutasoma vipi na kupata vyeti vingapi bado akili za kiafrika ni za ajabu tu. Wenzetu walionendelea huko kwao hakuna resource kama tulio kuwa nayo hapa afrika lakini wanazidi kupanda juu kimaendelea na sisi tunabomoa
Jeshi limegawanyika, asubuhi hii mapigano makali sana yamezuka mji mkuu wa Burundi kati ya wanajeshi watiifu kwa Rais na wale watiifu kwa Jenerali aliyepindua...mapigano hayo yanaripotiwa kuzuka karibu na State media house ambayo toka jana ilikuwa chini ya watiifu wa Rais...
===========================
Chanzo: BBC
.![]()
wamechafukwa.....
Major jenerali Niyombare amefanya haraka sana kutaka kupindua nchi!lazima viongozi waanze kukubaliana wenyewe huko jeshini halafu askari wadogo pia wakubali na lazima majeshi yote,idara zote zakiusalama zikubaliane ndipo mapinduzi yatafanikiwa.
Yeye alidhani itakuwa rahisi kidizaini hiyo!waliojaribu kufanya mapinduzi ni bora tu wakimbie nchi mapema kabla hawajanyongwa!!
Huyu Godefroid siyo mtu mdogo katika siasa za burundi. Kumbukeni kuwa alishawahi kuwa Spy chief, na CDF in a row kabla ya kuhitilafiana na mwajiri wake.
Kama airport na mpika yote inalindwa na waasi je hao askari watiifu kwa nkurunzisha wana lao hapo?
Kwa source za vyombonvya habari vya kimataifa ni kiwa hakuna tena serikali ya kiraia pale burundi..hata kama jeshi tiifublitashinda nchi ishaaribika ni vigumu sana kukaa sawa.kwa mtazamo ni kuwa nkurunziza alishindwa kuforeseen na kudetect the out come ya maamuzi yake aliyoyaamua kwa weredi wa nchi kama yake..Swala likishakuwa la kijeshi mi ngumu sana kukaa sawa kwa mda mfupi.ikumbukwe general aliyepindua alikuwa pia mkuu wa idara ya usalama ya nchi ya Burundi kwa zaidi ya miaka kumi since 2005 -2015 february.