Samahani! Ila...
Ikumbukwe na ifahamike kuwa viongozi wa awamu ya 4 na 'awamu' ya 6 wana msemo wao mmoja, "kelele za mlango haziwanyimi usingizi," something along those lines!
Sasa nani katika hizo taasisi atajitokeza kufanya kazi zao kama kiongozi haoni tatizo la kumghasi!
NB: Ukiona kuna sehemu ambapo taifa linaingia hasara kubwa na suluhisho lipo ambalo linaweza kupunguza gharama, ujue kuna "mtu" au "kikundi" kinachonufaika kwa namna moja au nyingine. Vile vile ukiona kuna ufumbuzi katika jambo ambalo limekuwa tatizo kwa taifa, maana yake ni kwamba njia mbadala...
kwa upande wa mchumba:
sasa akiwa miaka 18 na wewe 29! si utapoteza miaka 10 mingine kulinda, kuchunguza na kudata mkuu! tena wa Daslaam! na hapo mwisho wa siku kazi utakuwa hauna maana akili itahama kabisa! labda kama wewe sio strict sana!
kwa upande wa mke:
ongea na wazee vizuri. zile mbinu...
ni kweli!
ila hua watu wengi wanaamini wakiomba msamaha ndio yameisha na watu wataendelea ku entertain uwepo wao au mambo yao kama ilivyokuwa huko nyuma!
unaweza kuniomba msamaha na nikakusamehe na safari yetu ikaishia hapo ama ukaribu wetu ndio ukaishia hapo!
Heshima ipo pale pale!
Chati yangu na ChatGPT:
IamJackReacher atabasamu
IamJackReacher: unaweza kusema nini kuhusu Sadam Hussein, Mohammed Ghaddafi na Vladimir Putin?
ChatGPT: Saddam Hussein alikuwa dikteta wa zamani wa Iraqi ambaye alitawala kutoka 1979 hadi kupinduliwa na kutekwa na vikosi vilivyoongozwa na...
My take:
nimeona na kujifunza mengi katika maisha ila somo kuu ni kutokumuamini mwadamu yeyote anayekuzunguka, iwe ndugu, jamaa ama rafiki (0% - leave the 100% to grade/rate the disappointment)!
Ishi kinafiki na kubali kuwa mjinga.
Huenda wanatetea vibarua na wanataka kuishi kwa amani maana walivyosakamwa baada ya Jiwe kupumzika, sio mchezo!
Ila heshima ya kipekee kwa Bashungwa! Najua kajifunza mengi mazuri na kakemea mengi mabaya ila heshima ipo pale pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.