Kwa experience niliyoipata, sijaona haki ikitendeka especially kwa wapiga kura maana ni kama mtu anaye kuomba ushauri lakini anadharau ushauri wako.
KI UKWELI KUTOKA MOYONI, SITALAUMU KAMA WAMAREKANI WANAINGILIA TANZANIA IWE KAMA KILICHOTOKEA IRAQ KWA SADAM HUSSEIN.
I MISS U GEORG BUSH...
Habari wakuu, mimi ninafanya kazi katika kampuni xxx walinihakikishia kunipa mkataba lakini hadi leo sina mkataba imeshapita miezi zaidi ya mitano na sina jinsi ya kudai mshahara maana nalipwa hela ya msosi na nauli tu.
Kuna njia yoyote ya kisheria kuniwezesha kupata haki yangu kama sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.