Recent content by i genuine

  1. I

    JamiiForums Tanzania Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

    Ni nzuri zinapendeza Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    JamiiForums Tanzania Visimbusi vya Shilo-TV International vinauzwa

  3. I

    JamiiForums Tanzania Trilioni 1. 05 (Tshs) za MCC kwa Tanzania ilikuwa ndoto ya mchana

    Hizo pesa ni msaada ambao umekuwa ukitusaidia sana kama taifa mimi binafsi kule kwetu Tunduma kuna barabara ya kutoka tunduma mpaka sumbawanga awamu zote tatu walishindwa kwa kiwango cha rami lakini kupitia mcc awamu ya nne imejengwa kiwango cha rami yote hiyo ni moja tu yako mwengi.Kwa hiyo ni...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    Hawo wajeda ni kwa ajiri ya usalama kwenye hiyo mikoa ya pembezoni ukizingatia kuna wakimbizi na wahamiaji haramu wenye silaha. Kudos JPM.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Upotevu wa Mafuta bandarini: Mtendaji Mkuu WMA, Meneja Vipimo wasimamishwa kupisha uchunguzi

    Naona ile shehena ya mafuta iliyokamatwa baharini imeiamusha serikali usingizini.Mtuhumiwa alipohojiwa na wandishi wa habari ameyatowa wapi akajibu kwenye bomba.Kama hilo bomba limetowa mfuta five good years hasara yake ni kubwa mno kwa serikali.Nashauli serikali iajiri watu makini maeneo yote...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi ushauri kwenu

    Usiku huu ktk taarifa ya habari ITV saa 2 wameonyesha eneo kubwa ambalo nyumba zimebomolewa kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za ujenzi.Eneo hilo ukiliona linavutia sasa basi ushauri wangu jengeni vikuta vidogo vya kudumu au mabango ingawaje mabango yanaweza fanywa screpa.Bora kuta za...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Profesa Muhongo aiagiza TANESCO ishushe bei ya umeme

    Hongera waziri Muhongo ujasiri huwo umewashinda mawaziri wengi waliopita.Tumekuwa tukilalamika bila msaada wowote pamoja na gesi tuliyonayo kwa sasa.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Watumishi wezi, waliokosa uaminifu

    Ufafanuzi watumishi wa Mungu hawazuiliwi kuwa na miladi kadha wa kadha.Siyo dhambi mfano Ibrahim alikuwa na utajili mkubwa ukisoma biblia. Sadaka ni kitu kitakatifu kwa Mungu hawawezi tumia wakapona bila kibali cha Mungu.Hawo wote ulio wataja hapo juu wengine wakulima wakubwa kama tb Joshua na...
Back
Top Bottom