Usiku huu ktk taarifa ya habari ITV saa 2 wameonyesha eneo kubwa ambalo nyumba zimebomolewa kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za ujenzi.Eneo hilo ukiliona linavutia sasa basi ushauri wangu jengeni vikuta vidogo vya kudumu au mabango ingawaje mabango yanaweza fanywa screpa.Bora kuta za zege mithili ya zile ambazo huwa zinaonyesha mahari shule ilipo hasa hizi za serikali chenye maandishi ya katazo la kufanya chochote eneo hilo na mipaka yake ni ipi.
Hii itasaidia wananchi wasio na uelewa kuto rubuniwa na watendaji wasio waaminifu kwa miaka mingi.Inahuzunisha sana kuona watu wanavunjiwa nyumba wakiwa hawana kwa kwenda na familia zao.Mh.Lukuvi tafadhari zingatia hili.
Hii itasaidia wananchi wasio na uelewa kuto rubuniwa na watendaji wasio waaminifu kwa miaka mingi.Inahuzunisha sana kuona watu wanavunjiwa nyumba wakiwa hawana kwa kwenda na familia zao.Mh.Lukuvi tafadhari zingatia hili.