Recent content by I feel good

  1. I feel good

    JamiiForums Tanzania Ulikuta nini kwenye simu yake na kikabadilisha kabisa jinsi unavyomuona mpenzi wako?

    Kwann ukague simu ya mpenzi wako?? Kama unapendwa amini kuwa unapendwa na mnapendana. You don't have to pry into their phone, to prove Love.
  2. I feel good

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    Vizuri sana, kisasi kizuri sana hiki na iwe funzo. Mtu yoyote anapokuonesha bad behaviors, just accept them as reality, people don't change.... A red flag is a red flag.
  3. I feel good

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Bwege wewe
  4. I feel good

    JamiiForums Tanzania Usiku wa Bongo Flava umeniharibia maisha

    Vema. Hongera kwanza, unajua kujilinda. Pili, Condom kupasuka accidentally siyo kigezo cha kuupata. Mwanaume kuupata huwa ni ngumu kidogo... Unless kama baada ya kupasuka, mliendeleza mechi hvyohvyo pekupeku mda mrefu deliberately, kutokana na Vibe.... Lakn kama hamkufanya hvyo, we tulia tu...
  5. I feel good

    JamiiForums Tanzania Usiku wa Bongo Flava umeniharibia maisha

    Hujaukwaa, Ondoa wasiwasi kabisa.
  6. I feel good

    JamiiForums Tanzania Je Kuna ukweli kwenye hili ya kubwa " wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa so wazuri Tena"?

    Ndivyo ilivyo kwa wanawake wote, na siyo Wachaga tu.
  7. I feel good

    JamiiForums Tanzania Tunda la katikati lilikuwa ni lipi?

    Swali zuri. Tunda lililoongelewa ni TUNDA kama tunda na siyo tendo la ndoa, achana na huo upotoshaji wa siku hizi wa kihuni.
  8. I feel good

    JamiiForums Tanzania Wanawake ambao huweka makucha bandia marefu vidoleni huwa sio mateso kwao?

    Wanajitawazaga vipi hawa kama siyo uchafu tu?
  9. I feel good

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Tumia Kinga wewe, Acha kabisa hii.
  10. I feel good

    JamiiForums Tanzania Wapi Arusha naweza kupata shamba kwa bei ya milioni moja kwa ekari?

    Hakuna. Ardhi ni gharama sana in Arusha. Kuna Masharks
  11. I feel good

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Do not betray the powers that sleep within you by staying too late in a soft bed that keeps you sedated. The great men and women of the world became so not because they lounged glamorously under the covers, but because they set sublime ambitions that they then proceeded to do—even as the...
  12. I feel good

    JamiiForums Tanzania Je, in reality dunia hii ipo? Au ipo kichwani kwangu tu?

    Ipo.. Mbona hii kawaida sana, hata mimi naiiishi
  13. I feel good

    JamiiForums Tanzania Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

    Usifanye maamuzi ya hasira. Kama mke amekutenda tulia, utakaa sawa. Tueleze kilichofanya uwaze hivyo.
Back
Top Bottom