Recent content by I feel good

  1. I feel good

    JamiiForums Tanzania Shida Ni Earphones Au Ni Simu?

    Na mimi natumia hizohizo
  2. I feel good

    JamiiForums Tanzania Shida Ni Earphones Au Ni Simu?

    Hizo ni earphones wireless,.. Sensitivity yake inapeleka command kwenye simu. Ndiyo uboya wa hizi earpods za sasa.
  3. I feel good

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Ndiko ulikofungiwa kiroho. Jitakase, fanya ibada.
  4. I feel good

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Ulikosea mwenyewe. Marafiki wa kazini waishie kazini tu, don't take them into your personal life.
  5. I feel good

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!.

    Sahihi kabisa
  6. I feel good

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyumba niliyohamia wanawake wanaomba omba sana

    Pita nao, japo utajiweka kwenye mazingira mabaya zaidi na kujiingiza kwenye mitego mibaya zaidi, achana nao tu.
  7. I feel good

    JamiiForums Tanzania Kuwasha subwoofer kwa sauti kubwa sio dalili za umasikini?

    Siyo umasikini tu, na upumbavu ndani yake.
  8. I feel good

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui unachowaza na unavonifikiria.. Ila nishafanya maamuzi

    Msituchoshe na nyie mnaopendana kimapenzi kupitia Avatars humu.
  9. I feel good

    JamiiForums Tanzania Hivi nitumie dawa gani?

    We kwani ni Msela au Demu/Manzi? ‼️
  10. I feel good

    JamiiForums Tanzania MSITU ULIOFICHA NDUGU WENGI WA WATANZANIA

    Please send the coordinates accompanied with satellite image if possible.
  11. I feel good

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!.

    Ooh sikujua hilo. Lakini we umeongelea waliokeketwa nadhani hiyo ni different case kidogo,.... Sasa waliokeketwa kwa zama hizi si wanawake wa zamani sana waliozaliwa miaka ya 70 huko kushuka chini wayback‼️ Je hawa wa zama za sasa wa mikoa mingine, ambao hajakuta tena mambo ya kukeketwa...
  12. I feel good

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Mimi sijaelewa. Kwa hiyo affection ya hicho kikwazo alichowekewa ni kutokwenda marekani tu?
  13. I feel good

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Abstinence
  14. I feel good

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!.

    Ukiachana na wanawake wa Kagera ambao wana squirt na nadhani ni kutokana na nature ya vyakula vyao wanavyotumia kule hasa ndizi za kule,.. Swali langu ni kwamba hawa wanawake wa mikoa mingine kama vile Pwani, Dar, Arusha n. k nao wanauwezo wa kusquirt?
  15. I feel good

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Unapofanya mabaya tu unajitenga na Mungu, your positive energy diminishes. Ngono ni sehemu ya Maovu pia,
Back
Top Bottom