Ooh sikujua hilo. Lakini we umeongelea waliokeketwa nadhani hiyo ni different case kidogo,.... Sasa waliokeketwa kwa zama hizi si wanawake wa zamani sana waliozaliwa miaka ya 70 huko kushuka chini wayback‼️
Je hawa wa zama za sasa wa mikoa mingine, ambao hajakuta tena mambo ya kukeketwa...
Ukiachana na wanawake wa Kagera ambao wana squirt na nadhani ni kutokana na nature ya vyakula vyao wanavyotumia kule hasa ndizi za kule,.. Swali langu ni kwamba hawa wanawake wa mikoa mingine kama vile Pwani, Dar, Arusha n. k nao wanauwezo wa kusquirt?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.