Recent content by Hyrax

  1. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba sifa za wanawake wenye tabia ya kuona aibu

    Nimepata manzi mmoja wa kichaga ila hili suala lake la kuona aibu linanipa kutafakari ananiigizia au ni kweli yupo hivyo niambieni sifa za wanawake wa hivi niweke ndani au ndio nitakuwa nimepigwa?
  2. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Black with darkness
  3. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume yeyote mwenye mke lazima kuna moja ya sifa hizi zinamsumbua

    Namba 1 inanihusu mamaee, uzuri nishajenga nyumba yangu nyingine mkoa mwingine nasubiri bomu lilipuke nisambaratike. Nabadilisha line mpaka identity
  4. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Polepole kufungwa au kunyongwa ikiwa tu...

    Huu ni mtego watanzania tegueni
  5. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Rostamu hakuwa Live, Polepole huongea akiwa Live, kati yao nani kajificha?

    Hata ya pole pole sio live ni recoded inayorushwa kwa mtindo wa live. Ukiwa na ubongo mdogo huwezi nielewa.
  6. Hyrax

    JamiiForums Tanzania CRDB sasa tena wameongeza muda wa huduma kutopatikana, hivi hawa jamaa kimeawakumba nini?

    Brutal ATM Hacks imewasumbua sana few months ago
  7. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume unatakiwa kuoa akiwa na miaka mingapi?

    Miaka 28
  8. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa mtu anapokuambia amekumiss anakuwa na maana gani haswa wakuu?

    Hama hiyo nyumba haraka sana
  9. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaishi na maumivu

    Stay BOLD, Living is temporary, death is permanent.
  10. Hyrax

    JamiiForums Tanzania CRDB Mungu anawaona. Mnatunusisha mahela halafu mnayatoa

    Bado kuna watu mnaweka hela benki?
  11. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Weekend yangu imeanza vibaya sana, Kioo cha simu kimepasuka, kubadilisha laki 4

    Pole sana mkuu kiroho ni ishara kwamba umeepushwa na jambo baya sana leo kuliko hiyo laki 4 unayoililia. Next time ukiona uko nyumbani halafu unaangusha vitu au kitu chenye thamani kiroho kuna jambo baya linaweza kutokea endapo utaondoka nje ya nyumba hiyo unayoishi. BE AWARE.
  12. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia gani ulikuwa nayo ila umejikuta tu haufanyi tena

    Wakati nina mke mmoja, Nilikuwa napiga punyeto 10 times/day but toka nimeongeza michepuko yangu mitatu aaah mambo safi nimeacha kabisa.
  13. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sipendi tabia ya Mwanamke kujifanya hajui kilimchomleta faraghani

    Kuna kiumbe Nimemlipia nauli mpaka hoteli X chumba namba Y anafika ndani unajipigisha tu stori zisizo na kichwa wala miguu nguo hataki kuvua kama vile hajui kilichomleta mi nishavua tayari yeye ananitazama tu na kujichekesha. Mwisho wa siku giza lishaingia ananiambia yuko period kuhakiki mzigo...
  14. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Naomba list ya Machimbo ya huduma ya massage inayoinclude Happy Ending

    Malegends, Naombeni list nina kazi nayo personally.
Back
Top Bottom