Recent content by Hyrax

  1. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Tanzania hali ni mbaya sana
  2. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtanzania, umevuka miaka 35 na huna Passport upo kwenye list ya watu maskini

    Nimegundua watu wenye passport hapa Tanzania ndio wenye nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kuliko wasio na passport nimeshuhudia mimi mwenyewe na watu wangu wa karibu wakitoboa kirahisi sana wakiwa na passport kuliko wale wasio na passport kwasababu ya exposure wanayokuwa nayo kwenye sekta...
  3. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Pesa halali zipo sema wengi hatuzijui code.
  4. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuoa lakini vituko vya mke vikakufanya uingie kwenye tabia hatarishi

    Nimeanza ulevi ndugu zangu maana ndio option pekee ya kunifanya nijielewe mwenyewe kwa haya ninayopitia. Lakini nimejifunza kwa lugha ngumu sana kuwa kuishi na mwanamke mwenye Ego na kiburi ni jambo gumu sana kwa mwanaume. Niombeeni ndugu zangu nikiacha ulevi ntaahamia tabia nyingine mpaka...
  5. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kwake ni Muhimu kabla ya 13:08:2026

    Lisu 100%
  6. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Hivi NMB Jumatatu itakuwa lini

    Tumieni Binance benki za kibongo si salama tena
  7. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ninafungua Barbershop: Je Vinyozi Walipwe Mishahara au Wakabidhi Hesabu?

    Kufanya kazi na watanzania ni kazi sana ndio maana umaskini hauishi
  8. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    Vita ya rasilimali ndio itaanza kati ya wageni na wazawa
  9. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 niliyonayo sitaki usumbufu.

    Una trauma
Back
Top Bottom