Tuache masikhara jamani...
Si kwania mbaya lkn hizi nchi zilizotajwa hapo juu zinapigania haki za mashoga
Yani wanapigania wanaume wafokonyolewe .
Wenyewe wanaita Human Rights.
Inasikitisha kwa kweli
Duh,
Tatizo wagalatia wanajua kila muislamu ni mpemba ....
Ok wafukuzeni wapemba maana wao kwao magengeni na baharini kuvua samaki.....
Hawana hadhi ya kufanya kazi NSSF...
Hapo panawafaa nyinyi Wachaga , Wanyakyusa na Wahaya.
Hahaha
Nlijua tu mtasema tusitaje imani yake....|
Angekuwa muislamu huyo mngejaza huu uzi zaidi ya page 100...
Au mshasahu uzi wa Bandari mlivomwaga Kashfa....
Kwa Ujumla nyinyi ndio mnaofisidi hii nchi...
Mnasema mmesoma ...kazi mnapeena wenyewe tu ....
Tukihoji mnakimbilia kusema...
Wapo waafrika wengi wanaongoza mitihania kwenye mashule ya Asia,Ulaya na Marekani...
Fatilia tu na uliza watu walosoma maeneo hayo...
Nigerian student solves historically difficult maths equation in first semester at university
Habari zaidi angalia chini...
Nigerian student solves...
BEHIND THE SCENE
Kesho Maalim Seif Akibadilisha Jina na kujiita JOHN MATHEW ....
Mzee Mwanakajiji atakuja na Bandiko hapa kudai JOHN MATHEW ameshinda Uraisi Zanzibar...
Wachache sana watanielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.